• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Tafuteni barakoa mvalie sababu kuna wimbi la mafua, Wakenya waambiwa

ELIZABETH OJINA NA LABAAN SHABAAN WATAALAMU wa afya eneo la ziwa - Lake Basin - wameonya kuna uwezekano wa kuongezeka kwa homa ya...

Serikali yapiga marufuku dawa ya kikohozi Benylin kufuatia madai ya maafa Afrika Magharibi

NA MWANDISHI WETU BODI ya Dawa na Sumu nchini imesimamisha mara moja uuzaji na utumiaji wa dawa ya kikohozi ya watoto, kwa jina Benyline...

Raila akatiza kampeni za kiti cha AUC ili kutetea madaktari walipwe

Na CHARLES WASONGA HATIMAYE kiongozi wa upinzani Raila Odinga amevunja kimya chake kuhusu mgomo wa madaktari kwa kuitaka serikali...

EACC yaondolea Chiloba kesi ya ufisadi iliyopelekea kutimuliwa Tume ya Mawasiliano

EDNA MWENDA NA FATUMA BARIKI TUME ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imetamatisha upelelezi dhidi ya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa...

Bintiye Rais Moi, June Chebet aaga dunia

NA FRANCIS MUREITHI BINTIYE rais mstaafu hayati Daniel Moi, Bi June Chebet aliaga dunia Alhamisi akiwa na umri wa miaka 60. Bi Chebet...

Uvamizi mpya wa Al-Shabaab Milihoi wafufua kumbukumbu ya Katibu wa Wizara aliyetekwa

NA KALUME KAZUNGU MILIHOI ni miongoni mwa maeneo ambayo yalikuwa yameanza kujenga sifa nzuri siku za hivi karibuni baada ya miaka mingi ya...

Je, unajua kwa nini bei ya kitunguu haikamatiki saa hii?

SOPHIA WANJIRU NA WANDERI KAMAU BEI ya vitunguu imepanda mjini Nyeri kutokana na kupungua kwa mavuno ya zao hilo. Hali hiyo imetajwa...

Viongozi wa Kiislamu wahimiza serikali kutendea haki madaktari

NA TITUS OMINDE VIONGOZI wa Kiislamu kutoka eneo la North Rift wameihimiza serikali ya kitaifa kuangazia matakwa ya madaktari ili...

Mwindaji ageuka mwindwa: Afisa wa DCI akamatwa akiitisha hongo

NA CHARLES WASONGA AFISA wa Upelelezi wa Jinai na Uhalifu (DCI) Jumatano, Aprili 10, 2024, alikamatwa na maafisa wa Tume ya Maadili na...

Aliyekuwa Naibu Kamishna ashangaa kugeuzwa ‘mahabusu’ kwa ulaghai wa shamba la mabilioni  

NA RICHARD MUNGUTI KUSIKIZWA kwa kesi ya ulaghai wa shamba la Sh1.35 bilioni dhidi ya aliyekuwa Naibu Kamishna wa Nairobi, Davis Nathan...

Ukabila wachacha katika kaunti kuajiri wafanyakazi – Ripoti

NA ERIC MATARA KAUNTI 30 zimemulikwa kwa kukosa kutimiza usawa wa kikabila katika kuajiri wafanyakazi wake, kulingana na ripoti mpya...

Omtatah ashikana na maseneta 21 kurudi kortini kujaribu kuangusha tena Ushuru wa Nyumba

Na RICHARD MUNGUTI SENETA Okiya Omutatah na maseneta wengine 21 wamerudi tena mahakama kukabana koo na Rais William kuhusu sheria ya...