NA LABAAN SHABAAN WABUNGE wa kambi tawala ya Kenya Kwanza, wamemtaka Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kuvunja kimya kuhusu msimamo wake wa...
NA CHARLES WASONGA MUUNGANO wa Wafanyakazi Nchini (COTU) umewashauri wafanyakazi kwamba wasishiriki maandamano yaliyotangazwa kuongozwa na...
NA SAMMY WAWERUÂ KATIBU Mkuu wa United Democratic Alliance (UDA) Cleophas Malala ametishia kuvamia makazi ya kiongozi wa Orange...
NA MWANGI NDIRANGU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amewarai Wakenya kupuuzilia mbali wito wa muungano wa Azimio la Umoja kwamba Jumatatu...
NA CHARLES WASONGA JOPO la kuteua mwenyekiti na makamishna limewahakikishia Wakenya kwamba litaendesha shughuli hiyo kwa njia ya haki,...
NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Taifa Dkt Moses Wetang’ula amesema kwamba kuna haja ya kongamano spesheli la Jumuiya ya Afrika...
NA CHARLES WASONGA SERIKALI ya Rais William Ruto itatumia zaidi ya Sh4 bilioni kulipa mishahara ya wandani wake aliowateua kuwa mawaziri...
FRED KIBOR, GEOFFREY ONDIEKI NA FLORAH KOECH WANAJESHI wa KDF na maafisa wa usalama wanaoendesha operesheni ya kudhibiti ujambazi eneo la...
NA CHARLES WASONGA BARAZA la Vyombo vya Habari Nchini (MCK) inatayarisha Sera ya kwanza ya Kitaifa kuhusu Vyombo vya Habari na Uelewa wa...
NA SAMMY WAWERU ALIYEKUWA seneta maalum Millicent Omanga ni miongoni mwa walioteuliwa na Rais William Ruto kuhudumu kama mawaziri...
NA MWANDISHI WETU RAIS William Ruto mnamo Alhamisi amewateua Mawaziri Wasaidizi (CAS) 50 kusimamia wizara 22. Kwenye orodha...
NA CHARLES WASONGA MBUNGE wa Likoni Mishi Mboko (ODM) amemkemea kiongozi fulani wa Kenya Kwanza akidai alitoa matamshi yaliyofasiriwa...