Salaalaa! Mwanamume ashiriki kikao cha korti akiwa nusu uchi

NA RICHARD MUNGUTI MWANAUME aliyeingia kwenye kikao cha mahakama kupitia mtandao wa zoom akiwa nusu uchi alisababisha mtafaruku mkubwa...

MCA atoa msaada wa chakula, malazi kwa familia 500 ambazo nyumba zao ziliteketea katika eneo la Mukuru-Commercial

NA SAMMY KIMATU FAMILIA zaidi ya 500 zilizoathirika katika wa mkasa wa moto Mukuru-Commercial, Kaunti ndogo ya Starehe walipigwa jeki...

Kindiki aponea kutupwa jela kwa kukaidi amri ya korti

NA BRIAN OCHARO WAZIRI wa Usalama, Prof Kithure Kindiki, ameponea kufungwa jela kwa kosa la kudharau mahakama. Jaji John Onyiego wa...

Gavana Nassir aonya mawaziri wake dhidi ya uzembe

NA JURGEN NAMBEKA GAVANA wa Kaunti ya Mombasa, Bw Abdulswammad Nassir, amewaonya mawaziri wake dhidi ya...

NEMA yataka mahakama itupe kesi inayopinga usafirishaji wa mibuyu hadi Georgia

NA MAUREEN ONGALA MAMLAKA ya Kusimamia Mazingira (NEMA), imeitaka Mahakama ya Mazingira na Ardhi ya Malindi kutupilia mbali kesi...

Ramadhan: Serikali yaondoa ushuru kwa uagizaji wa tende

NA FARHIYA HUSSEIN WAUMINI wa dini ya Kiislamu wameanza maandalizi ya Ramadhan, kipindi kinachoanza katika wiki moja ijayo. Kwa minajili...

Ashtakiwa kwa kutaka kumuua dadake Raila

NA BRIAN OCHARO MWANAMKE ameshtakiwa katika Mahakama ya Mombasa kwa madai ya kutishia kumuua afisa mkuu wa idara ya Mazingira katika...

Raila asijaribu kuzua vurugu wakati wa maandamano, Ruto aonya

NA PCS RAIS William Ruto amewahakikishia Wakenya wasiwe na wasiwasi kuhusu mpango wa viongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya kuandaa...

Gharama ya maisha kupanda zaidi kufuatia kuongezeka kwa bei ya petroli

NA CHARLES WASONGA GHARAMA ya maisha inatarajiwa kuendelea kupanda kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta aina ya petroli kwa Sh2 kwa kila...

Wezi wamwaga ‘manoti’, ukiokota unaingia mtego wa kuibiwa

NA MACHARIA MWANGI AINA mpya ya uhalifu imechipuka katika barabara za Naivasha ambapo kundi la walaghai wanazunguza wakijifanya kuangusha...

Dereva Maxine Wahome akana kumuua mpenzi wake na dereva mzoefu Assad Khan

NA RICHARD MUNGUTI DEREVA wa Safari Rally Maxine Wahome amekanusha kwamba alimuua mpenzi wake Assad Khan. Maxine amekanusha...

Chuo chatimua wanafunzi wenye vyeti feki vya KCSE

NA WINNIE ATIENO  WIZARA ya Afya inachunguza sakata kuhusu jinsi baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha Mafunzo ya Matibabu (KMTC)...