NA JUSTUS OCHIENG SERIKALI inapanga kuanzisha afisi na kutenga bajeti ya kumsaidia kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga...
NA DAVID ADUDA BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELB) na Halmashauri ya Kuwateua Wanafunzi Kujiunga na Vyuo Vikuu na Vyuo Anuwai...
NA WANDERI KAMAU MKEWE Rais William Ruto, Bi Rachel Ruto, ametangaza kwamba serikali itabuni kikosi maalum cha maombi, kwa lengo la...
GITONGA MARETE NA STEPHEN MUNYIRI MJI wa Karatina Kaunti ya Nyeri, hauna baa yoyote inayohudumu baada ya serikali kufunga baada zote...
NA CHARLES WASONGA SIASA kuhusu nani atakayemrithi Rais William Ruto kama msemaji wa jamii ya Kalenjin baada ya kustaafu kwake kama rais...
NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wachache katika Bunge la Kitaifa Opiyo Wandayi amemtaka Waziri wa Kilimo Mithika Linturi na mwenzake wa...
NA WANDERI KAMAU SUALA linalozua mdahalo mkali kwa sasa nchini ni kuhusu ikiwa Kenya itapeleka polisi wake nchini Haiti au la. Hili...
NA CHARLES WASONGA WANDANI wa kisiasa wa Rais William Ruto, aliowateua kuwa mabalozi wa Kenya katika nchi mbalimbali za kigeni, sasa...
NA MASHIRIKA JUBA, SUDAN KUSINI SUDAN Kusini imesema uchunguzi wake kuhusu chanzo cha kifo cha mwanahabari Christopher Allen...
NA CHARLES WASONGA MAAFISA kutoka vikosi vya usalama wamenasa magunia 560 ya mbolea inayoshukiwa kuwa bandia na iliyotarajiwa kuuziwa...
NA CHARLES WASONGA MAAFISA wa upelelezi katika Kaunti ndogo ya Koibatek iliyoko Kaunti ya Baringo wamearifiwa kuhusu sakata ambapo...
NA LUCY MKANYIKA GAVANA Andrew Mwadime ametoa agizo kwa wamiliki wa baa katika Kaunti ya Taita Taveta ambao wamefuata masharti ya Sheria...