• Nairobi
  • Last Updated June 2nd, 2023 8:58 PM

Madaraka Dei 2023: Rais Ruto aahidi kuzindua bodaboda zinazotumia nguvu za umeme

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto ameahidi kuwa serikali yake inaendeleza mikakati kuleta nchini pikipiki zisizotumia mafuta ya...

Rais apuuza itifaki za kijeshi na kuamuru waliofungiwa nje ya uwanja waruhusiwe kuingia

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto Alhamisi, Juni 1, 2023 alipuuza itifaki za kijeshi kuhusu hafla za kitaifa, ambapo baada ya kiongozi...

Rais Ruto awasili akiwa amechelewa Embu kuadhimisha Madaraka Dei 2023    

  NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto alichelewa kuwasili katika Uwanja wa Moi, Embu ambako maadhimisho ya Madaraka Dei 2023...

Ntalami aomboleza kifo cha mbwa wake

NA MERCY KOSKEI MJASIRIMALI na mwanzilishi wa Marini Naturals, Bi Michelle Ntalami, anaomboleza kifo cha mbwa wake. Mbwa huyo kwa...

Erick Omondi na Amber Ray kuporomosha kibao pamoja

NA MERCY KOSKEI MCHESHI Erick Omondi na mwanasosholaiti Amber Ray wametangaza kuwa wamejitosa kwenye muziki huku wakitarajia kutoa...

Kamene na Bonez washangaza wakidai hutumia mswaki mmoja  

  NA MERCY KOSKEI ALIYEKUWA mtangazaji wa Kiss FM, Kamene Goro na mpenzi wake DJ Bonez wamewaacha wanamitandao kwa mshangao...

Vituko: Sonko athibitisha ‘blingi’ zake si feki

Na MWANDISHI WETU ALIYEKUWA gavana wa Nairobi Mike Sonko alithibitisha kuwa blingi (vito) anavyovaa vya dhahabu si ghushi. Kwenye...

Waliovamia shamba la familia ya Uhuru Kenyatta kukamatwa

NA SAMMY WAWERU MSAKO wa wahuni waliovamia shamba la familia ya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta Machi 2023, unatarajiwa kuanza hivi...

‘Pulahia’ maisha: Akothee awakumbusha ameoleka akitaja mume wake kuwa hodari wa mahaba 

NA SAMMY WAWERU SIKU kadha zimepita tangu mwanamuziki Esther Akoth ‘Akothee’ asafiri Uswizi (Switzerland), aliko bwanake...

AMINI USIAMINI: Kipepeo anayefahamika kama ‘glasswing butterfly’

NA MWORIA MUCHINA KIPEPEO anayejulikana kama glasswing butterfly au kwa jina la kisayansi Greta oto, huwa na mabawa yenye mwonekano wa...

Wanabodaboda walia abiria wa kike kuwaweka majaribuni kimapenzi

KNA NA GEORGE ODIWUOR WAHUDUMU wa bodaboda kutoka Kaunti ya Mombasa, wamelalamika wakidai kuwa, baadhi ya abiria wao wa kike huwadhulumu...

Gachagua asimulia alivyozuru kanisa Kericho nusu ya waumini wakiwa walevi

NA SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua amesimulia alivyozuru kanisa moja Kericho na kukuta nusu ya waumini wakiwa walevi...