NA KALUME KAZUNGU VIONGOZI na wakazi wa maeneo yanayokumbwa na utovu wa usalama Kaunti ya Lamu wamefichua jinsi kifo cha ghafla cha Mkuu...
KEN RUTTO Na LABAAN SHABAAN HII ni simulizi iliyojaa ushujaa. Simulizi ya Bw Wilson Lemkut aliyewaokoa watoto 16 waliokuwa karibu wafe...
NA KALUME KAZUNGU “NILIVYO Mwafrika halisi ninaamini kabisa kwamba inachukua kijiji kizima katika malezi ya mtoto. Licha ya kukosa...
NA LABAAN SHABAAN WAKATI huu ambapo gharama ya maisha inapanda na mja anahitaji kutumia muda mwingi kujitafutia riziki, anahitaji mtambo...
Shangazi, Mume wangu wa miaka 10 na nampenda sana. Tatizo ni kwamba katika muda huu wote amekuwa akikojoa kitandani tangu tuoane. Nimekuwa...
NA LABAAN SHABAAN KENYA imeorodheshwa kuwa namba moja kwa wanaume ‘warembo’ sana barani Afrika. Haya ni kwa mujibu wa utafiti wa hivi...
RUSHDIE OUDIA NA LABAAN SHABAAN HII ni simulizi ya familia tatu zilizounganishwa na upendo na ujirani mwema lakini zikasambaratishwa na...
NA OSCAR KAKAI WAKATI Bw Alfri Korianyang na mkewe, Bi Cheparkong Alfri walifika nyumbani kutoka sokoni saa moja jioni Jumanne,...
NA KALUME KAZUNGU “Kumekucha! Ninapolisoma gazeti la Taifa Leo mimi binafsi huhisi kumepambazuka.” Hiyo ni kauli ya mzee na babu wa...
NA KALUME KAZUNGU MARA nyingi kisiwa cha Lamu kila kinapotajwa, taswira inayojichora kwa fikra za wengi ni historia, ukale, na majumba...
NA FRIDAH OKACHI MWANAHABARI Stephen Letoo amejibu wakosoaji wake wanaomwelekezea mishale mtandaoni kwa kuoa mke mmoja, tofauti na...
NA PAULINE ONGAJI akiwa DAR ES SALAAM, TANZANIA BARA la Afrika linakodolea macho hatari huku maradhi yasiyo ya kuambukiza yakitabiriwa...