• Nairobi
  • Last Updated September 21st, 2023 8:54 PM

Bei ya pombe kuongezeka kwa asilimia 300 pendekezo la mbunge likipita

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kenya Kwanza amependekeza nyongeza ya asilimia 300 kwa bei ya pombe na vileo vikali. Bw Gabriel (GG)...

GWIJI WA WIKI: Dkt Timothy Kinoti

NA CHRIS ADUNGO TIMOTHY Kinoti M’Ngaruthi alizaliwa mnamo 1967 katika kijiji cha Kanthungu, Ruiri, Kaunti ya Meru. Ndiye kitinda mimba...

HII IMEENDA: Mtimkaji Mary Moraa atoka sokoni

NA AYUMBA AYODI HAKUJUA kile ambacho kilikuwa kikimsuburi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta (JKIA) baada ya kuwasili...

Dorcas Gachagua: Ufukara katika familia nusra usababishe nijitie kitanzi

NA SAMMY WAWERU MKE wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Bi Dorcas Gachagua, amesimulia jinsi nusra ajitie kitanzi kufuatia mahangaiko...

Maandalizi ya Maonyesho ya ASK Nairobi 2023 yakamilika

NA SAMMY WAWERU MATAYARISHO ya Maonyesho ya Kimataifa ya Kibiashara na Kilimo jijini Nairobi mwaka huu, yanayoandaliwa na Chama cha Kilimo...

Apu na teknolojia za kidijitali kuboresha kilimo na ufugaji

NA SAMMY WAWERU KENYA ingali mateka ya chakula kinachonunuliwa nje ya nchi, kwa kiwango kikubwa. Hilo hasa linatokana na wakulima...

Anavyopunguza gharama kufuga kuku kwa kutumia Azolla

NA SAMMY WAWERU  MZEE Ken Macharia, amekuwa akiendeleza ufugaji wa kuku tangu 1990.  Aliuingilia kama mojawapo ya njia kujipa pato la...

Karen Nyamu: Ruto ndiye ameumia zaidi na kupanda kwa bei ya mafuta na anapambana kurekebisha hali

NA WANGU KANURI SENETA maalum Karen Nyamu amemtetea Rais William Ruto baada ya kukiuka ahadi yake ya kushukisha bei ya mafuta. Kwenye...

Haya machenza ya kwake yanasubiri kuchumwa tu!

Na PETER CHANGTOEK KAUNTI ya Makueni inatambulika mno nchini kwa ukuzaji wa mimea ya matunda, kama vile michenza, miembe na michungwa....

Masaibu ya ndoa: Waigizaji Kate Actress na Phil Director watengana  

NA MERCY KOSKEI WAIGIZAJI mashuhuri Kate Actress na Philip Karanja almaarufu Phil Director, wametangaza kuachana baada ya miaka kadhaa...

Utalii Lamu unavyoyumbishwa na mfumko wa bei ya mafuta ya petroli

NA KALUME KAZUNGU WATALII na wageni wanaozuru Pwani ya Kenya, hasa Lamu tayari wameanza kuhisi ugumu wa gharama ya juu ya maisha...

Aibu taulo za hedhi zilizotumika zikitapakaa mitaani Nairobi

NA SAMMY WAWERU MAJAA ya taka mitaa mbalimbali Kaunti ya Nairobi yamegeuzwa kuwa tupio la sodo zilizotumika, hali inayoibua wasiwasi...