• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 4:25 PM

Miaka 30 ya balaa tupu: Simulizi za vijana watatu walivyokaribisha umri ‘unaoogopwa’

NA FRIDAH OKACHI MIAKA ya thelathini katika maisha huwa yenye hisia tofauti. Kufikisha umri wa miaka 30 kwa wengine huwa jambo la...

Kila wakati tukipatana lazima achovye asali, yaani ni kama sheria

Hujambo Shangazi, Nina mwanamume mpenzi wangu ambaye nampenda kwa dhati. Tatizo lake ni kuwa kila wakati tukikutana ni lazima adai asali....

Instagram ilinipa mume, asema Rev Lucy Natasha

NA FRIDAH OKACHI MHUBIRI wa kanisa la Empowerment Christian Church, mjini Nairobi, Bi Lucy Natasha, amefichua kuwa alipatana na...

Sababu iliyonifanya nirushe chini bunduki na kuchukua Biblia

NA OSCAR KAKAI ILIKUWA bahati alivyoponyoka kifo mara nyingi akiwa katika uhalifu. Anapokumbuka maisha yake ya zamani, Pasta Daniel...

Jinsi himaya ya ulanguzi wa bangi ilivyosambaratishwa akasukumwa jela miaka 10

NA KALUME KAZUNGU KWA zaidi ya miaka sita, Lucas Opondo Muguna, 45, amekuwa akiendesha biashara yake ya ulanguzi wa dawa za kulevya...

Vijana waliotaabika bila kazi walivyojijengea viota vya ajira kutoka kwa uyoga

NA LABAAN SHABAAN VIJANA waliotaabika bila kazi mjini Bomet wamepata afueni baada ya shamba la utafiti wa mimea kufanywa njia ya kutega...

Mashabiki hawapati picha kabisa Bensoul kutema Noni Gathoni na kuchukua beste yake Cindy K

NA SINDA MATIKO WASWAHILI wanasema kikulacho ki nguoni mwako. Ni methali ambayo staa wa zamani wa Sol Generation Bensoul anaifahamu...

Shughuli ya upanzi imekuwa rahisi tangu agundue mtambo huu

NA RICHARD MAOSI HUU ni msimu wa kupanda na wakulima wengi kutoka Kaskazini na kusini mwa Bonde la Ufa wameanza kuandaa mashamba yao kwa...

Kilio cha mwanamke mgonjwa aliyekwama Saudi Arabia

NA OSCAR KAKAI MWISHONI mwa mwaka wa 2021, Emily Cherop Kaptuwai mwenye umri wa miaka 27, alipanga virago vyake na kutoka kwenye kijiji...

Upungufu wa vifaranga nchini watishia wakulima

NA SAMMY WAWERU HUKU Sekta ya Kilimo ikikadiriwa kuchangia asilimia 25 ya ukuaji wa uchumi (GDP), ufugaji kuku unawakilisha asilimia 30...

Vitunguu, dhahabu ambayo bei yake sasa haikamatiki

NA SAMMY WAWERU  KITUNGUU ni kati ya viungo vya mapishi vinavyotumika kwa wingi katika kila boma nchini.  Madhumuni yake yakiwa ni...

Guardian Angel: Muziki hauna utajiri wa haraka 

NA SINDA MATIKO MSANII wa injili Guardian Angel kadai kuwa, muziki sio uwekezaji sahihi kwa mtu anayepania kutajirika haraka. Angel...