• Nairobi
  • Last Updated June 2nd, 2023 9:28 PM

PATA USHAURI WA DKT FLO: Nahisi maumivu kila ninapoenda haja kubwa, tatizo ni nini?

Mpendwa Daktari, Kwa majuma kadhaa nimekuwaa nikikumbwa na maumivu kwenye tupu ya nyuma hasa kila ninapoenda haja kubwa. Haya ni maradhi...

BORESHA AFYA: Viungo vizuri kwa afya yako

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com Mdalasini MDALASINI ni kiungo kinachoweza kusaidia mtu kupoteza uzito, kudhibiti sukari...

Athari za ukosefu wa maji mwilini

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com UNYWAJI na upatikanaji wa maji ni muhimu kwa afya ya binadamu. Bila maji, mwili unaweza...

Namna ya kulikabili tatizo la kutokwa na damu puani

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com KUTOKWA na damu puani ni jambo la kawaida. Pua ina mishipa mingi ya damu, ambayo iko karibu...

Ukizoea kufakamia mapochopocho utasumbuliwa na protini nyingi mwilini!

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com INGAWA ulaji wa protini ni muhimu kwa afya, lishe yenye afya, ni muhimu kujua dalili za...

Ishara na dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com VIASHIRIA vya upungufu wa vitamini C vinaweza kujumuisha uchovu, michubuko rahisi, na...

SIHA NA LISHE: Fahamu mlo sahihi ikiwa wewe ni ‘vegan’

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com MLO wa mboga unaendelea kupata umaarufu.  Lishe ya mboga inaweza kupunguzia mlaji hatari...

Umuhimu na faida ya magnesiamu mwilini

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com MAGNESIAMU ni madini muhimu ambayo mwili wako hautengenezi kumaanisha ni lazima uyapate...

Vidokezo mahususi kwa vijana kupunguza uzani

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com KUPUNGUZA uzani wa mwili kwa kiasi fulani kunaweza kuboresha afya. Kunafanya mja kujistahi,...

KUKABILI TATIZO: Uvimbe chini ya macho

NA MARGARET MAINA mwmaina@ke.nationmedia.com WATU wengi hukabiliwa na uvimbe chini ya macho mara kwa mara. Baadhi ya sababu ni kukosa...

SHINA LA UHAI: Safari yake kushughulikia mtoto wake mwenye utindio wa ubongo

NA PAULINE ONGAJI MIAKA mitatu iliyopita, Bi Ednah Mokeira, 35, mkazi wa mtaa wa Kasarani, Kaunti ya Nairobi, aliingia hospitali ya...

SHINA LA UHAI: Mabadiliko ya tabianchi yanavyochangia ongezeko la maradhi Afrika

NA PAULINE ONGAJI KATIKA kitongoji duni cha Kangemi, Kaunti ya Nairobi, Bi Beth* anaendelea kupokea matibabu dhidi ya maradhi ya kifua...