• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 6:55 PM

Kama mwanamke, kuota kwa nywele kwenye kidevu kwanipa taabu!

Mpendwa Daktari, Mimi ni mwanamke na nakumbwa na shida ya kujithamini, kutokana na tatizo la nywele kuota miguuni, kwenye mapaja,...

Umuhimu wa watoto wadogo kupata usingizi wa kutosha

NA MWANDISHI WETU WAKATI pacha wake James Mwema (aliomba jina libadilishwe) walikuwa wanazaliwa, ilikuwa siku njema maishani mwake. Hata...

Miguu yangu imefura na kujaa majipu ila daktari haoni tatizo!

Mpendwa daktari, MIGUU yangu imefura kwa miezi kadhaa sasa, na pia sehemu hii imejaa majipu na hivyo kunisababishia maumivu mengi....

Mwanamume akejeliwa kwa kuruhusu mkewe kupanga uzazi

NA FRIDAH OKACHI WAVUMISHAJI wa afya ya jamii katika wadi za Heilu na Manyatta zilizoko mjini Moyale, Kaunti ya Marsabit, wanazidi...

Wanasayansi wapigia debe ulaji wa wadudu

NA HELLEN SHIKANDA HUKU idadi ya binadamu ikiendelea kuongezeka ulimwenguni na chakula kuwa haba, wanasayansi wamebaini kuwa kula wadudu...

Tambua ugonjwa wa ‘appendicitis’ unaonyemelea watu kimya kimya

NA WANGU KANURI KAREN Nyambura anakumbuka kuwa mnamo mwezi wa Septemba mwaka wa 2008, alianza kuhisi uchungu mwingi upande wa kulia chini...

Magari ya umeme yanapunguza uharibifu wa mazingira na vifo, ripoti ya WHO yaonyesha

NA PAULINE ONGAJI NYUMBANI kwake katika mtaa wa Kawangware, Kaunti ya Nairobi, Bw Chris*, anajiandaa kuelekea kazini, ambapo anahudumu...

Kinachosababisha uvimbe kwenye sehemu za siri za akina dada

NA PAULINE ONGAJI Kama mwanamke, kuna uwezekano wa wakati mmoja kukumbwa na uvimbe unaojitokeza kila mara kwenye sehemu za siri. Ni jambo...

Teknolojia mpya ya PEM yatoa vipimo vya uhakika zaidi kwa kansa

NA PAULINE ONGAJI WANASAYANSI wamegundua mbinu mpya ya kutambua kansa ya matiti huku ikipunguza uwezekano wa matokeo ya kupotosha. Kwa...

Namna ya kujikinga dhidi ya miale hatari ya jua

NA LABAAN SHABAAN JUA kali limekuwa likishuhudiwa sehemu tofauti nchini kiasi cha kufanya watu kuogopa kutoka nje ila wanalazimika tu...

Sababu za baadhi ya watu kuogopa giza

NA WANGU KANURI MTU mzima mmoja kati ya wanne bado hulala taa zikiwa wazi huku wengine wakikimbia kunapokuwa na giza, utafiti...

Mwanamume aomba asaidiwe kufa sababu ya mahangaiko ya kuugua selimundu

Na HELLEN SHIKANDA MWANAMUME anayeugua maradhi ya selimundu sasa amehiari kufa ili apate utulivu kutokana na uchungu anaopitia baada ya...