• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:55 AM

Kula kabeji mara tatu kwa siku husaidia wanaume kupunguza unene

NA CECIL ODONGO KULA kabeji mara tatu kwa siku kunapunguza unene kupita kiasi miongoni mwa wanaume, wanasayansi wamebaini. Katika utafiti...

Sababu zinazozima moto miongoni mwa wanawake chumbani

NA PAULINE ONGAJI KUNA baadhi ya wanawake ambao hufika wakati wakakumbwa na tatizo la kukosa hamu ya mahaba, au kutofurahia tendo la...

VillageReach yateua Nairobi kitovu cha shughuli zake barani

NA PAULINE ONGAJI SHIRIKA la huduma za afya la VillageReach limefungua kitovu chake jijini Nairobi kufuatilia kwa ukaribu shughuli zake...

Namna ya kuepuka ugonjwa wa macho mekundu

ALEX KALAMA Na HASSAN WANZALA VISA vya ugonjwa wa macho mekundu almaarufu red eyes vimeripotiwa kwa wingi katika eneo la ukanda wa Pwani...

Kinachosababisha chunusi sehemu inayozingira uke

NA PAULINE ONGAJI Wakati mmoja maishani, huenda kila mwanamke akakumbwa na tatizo la chunusi katika sehemu inayozingira uke. Ni suala...

Wanaume wenye matiti makubwa wamo katika hatari ya kufariki mapema

NA CECIL ODONGO WANAUME ambao wana matiti ambayo yametanuka (gynecomastia), wapo katika hatari ya kufa kabla ya kufika umri wa miaka 75,...

Ubora wa mbegu za kiume hushushwa na hewa chafu

NA CECIL ODONGO Kupumua hewa chafu kunasababisha mwanaume kuwa gumba, watafiti wamebaini. Watafiti kutoka Uingereza waliafikia hilo...

Kuandaa kabeji uifurahie kama vile unavyofurahia nyama!

NA PAULINE ONGAJI Msimu wa sikukuu umekamilika kumaanisha kwamba uhalisi wa maisha umeanza kuwarejelea wengi. Mojawapo ya mambo ambayo...

Wanasayansi waonya hatari ya kula chakula baada ya saa tatu usiku

NA CECIL ODONGO WANASAYANSI wamebaini kuwa kula chakula hasa baada ya saa tatu usiku unachangia hatari ya kupata maradhi ya moyo na unene...

Hatari ndani ya mabwawa ya kuogelea

NA MWANGI MUIRURI MADAKTARI sasa wametoa tahadhari kuhusu mabwawa ya kuogelea ambayo utapata watu wengi wakifurika kupindukia kwa awamu...

Usifakamie mlo tu kujaza tumbo – mtaalamu

NA LABAAN SHABAAN KAMA ilivyo desturi kila msimu wa sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya, watu hupumzika na kuchangamkia mapochopocho...

Daktari aonya wanaume wa kuendea madoli

NA MWANGI MUIRURI MSIMAMIZI mkuu wa hospitali ya Murang'a Dkt Leonald Gikera amewaonya wanaume wanaoendea madoli ya ngono akisema...