• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 12:30 PM

Familia zahangaishwa na ‘ugonjwa’ wa wazee kupotea jijini

NA FRIDAH OKACHI IMEBAINIKA kwamba baadhi ya wazee, waume kwa wake, hukumbwa na matatizo ya kusahau njia wanapokuwa wametoka nyumbani...

Sababu za korongo kuondoka Ziwa Nakuru

NA PAULINE ONGAJI KWENYE ufuo wa Ziwa Nakuru, Bw Nicholas Rioba, mkazi wa eneo la Lunga Lunga, Kaunti ya Nakuru, anafurahia mandhari murwa...

Dawa za kusaidia kupata ashiki haziathiri akili, Watafiti sasa wabaini

Na CECIL ODONGO DAWA ambazo zinatumika kutibu ubutu wa hisia za mapenzi kwa wanaume haziwezi kusababisha maradhi ya kiakili (Alzheimer),...

Mzigo wa kansa waendelea kulemea wengi duniani

NA PAULINE ONGAJI MZIGO wa maradhi ya kansa uneandelea kuongezeka. Haya ni kulingana na makadirio yaliyotolewa na Shirika la kimataifa...

DKT FLO: Ninapatwa na matatizo ya UTI kila tunapojamiiana na mume wangu!

Mpendwa Daktari, MUME wangu anafanya kazi katika mji wa mbali ambapo sisi hukutana kati ya miezi miwili na mitatu. Tatizo ni kwamba...

Kula kabeji mara tatu kwa siku husaidia wanaume kupunguza unene

NA CECIL ODONGO KULA kabeji mara tatu kwa siku kunapunguza unene kupita kiasi miongoni mwa wanaume, wanasayansi wamebaini. Katika utafiti...

Sababu zinazozima moto miongoni mwa wanawake chumbani

NA PAULINE ONGAJI KUNA baadhi ya wanawake ambao hufika wakati wakakumbwa na tatizo la kukosa hamu ya mahaba, au kutofurahia tendo la...

VillageReach yateua Nairobi kitovu cha shughuli zake barani

NA PAULINE ONGAJI SHIRIKA la huduma za afya la VillageReach limefungua kitovu chake jijini Nairobi kufuatilia kwa ukaribu shughuli zake...

Namna ya kuepuka ugonjwa wa macho mekundu

ALEX KALAMA Na HASSAN WANZALA VISA vya ugonjwa wa macho mekundu almaarufu red eyes vimeripotiwa kwa wingi katika eneo la ukanda wa Pwani...

Kinachosababisha chunusi sehemu inayozingira uke

NA PAULINE ONGAJI Wakati mmoja maishani, huenda kila mwanamke akakumbwa na tatizo la chunusi katika sehemu inayozingira uke. Ni suala...

Wanaume wenye matiti makubwa wamo katika hatari ya kufariki mapema

NA CECIL ODONGO WANAUME ambao wana matiti ambayo yametanuka (gynecomastia), wapo katika hatari ya kufa kabla ya kufika umri wa miaka 75,...

Ubora wa mbegu za kiume hushushwa na hewa chafu

NA CECIL ODONGO Kupumua hewa chafu kunasababisha mwanaume kuwa gumba, watafiti wamebaini. Watafiti kutoka Uingereza waliafikia hilo...