• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 1:08 PM

Namna ya kujikinga dhidi ya miale hatari ya jua

NA LABAAN SHABAAN JUA kali limekuwa likishuhudiwa sehemu tofauti nchini kiasi cha kufanya watu kuogopa kutoka nje ila wanalazimika tu...

Sababu za baadhi ya watu kuogopa giza

NA WANGU KANURI MTU mzima mmoja kati ya wanne bado hulala taa zikiwa wazi huku wengine wakikimbia kunapokuwa na giza, utafiti...

Mwanamume aomba asaidiwe kufa sababu ya mahangaiko ya kuugua selimundu

Na HELLEN SHIKANDA MWANAMUME anayeugua maradhi ya selimundu sasa amehiari kufa ili apate utulivu kutokana na uchungu anaopitia baada ya...

Kila mara nahisi mkojo hauishi kwenye mrija!

Mpendwa Daktari,Mimi hutingisha uume wangu baada ya kukojoa ilhali kila wakati mimi huhisi kana kwamba mkojo umesalia. Je tatizo laweza...

Jamii yairai familia isiyoamini tiba za kisasa ibadili msimamo

NA FRIDAH OKACHI FAMILIA moja katika eneo la Ngando, eneobunge la Dagoretti Kusini, haijakumbatia matibabu ya kisasa...

Valentino: Wanaume wenye mabibi wengi wataka hakikisho SHIF itawajali

NA MAUREEN ONGALA WANAUME wenye wake kuanzia wawili kuendelea wameitaka Wizara ya Afya kueleza namna ambavyo familia zao zitafaidika...

Familia zahangaishwa na ‘ugonjwa’ wa wazee kupotea jijini

NA FRIDAH OKACHI IMEBAINIKA kwamba baadhi ya wazee, waume kwa wake, hukumbwa na matatizo ya kusahau njia wanapokuwa wametoka nyumbani...

Sababu za korongo kuondoka Ziwa Nakuru

NA PAULINE ONGAJI KWENYE ufuo wa Ziwa Nakuru, Bw Nicholas Rioba, mkazi wa eneo la Lunga Lunga, Kaunti ya Nakuru, anafurahia mandhari murwa...

Dawa za kusaidia kupata ashiki haziathiri akili, Watafiti sasa wabaini

Na CECIL ODONGO DAWA ambazo zinatumika kutibu ubutu wa hisia za mapenzi kwa wanaume haziwezi kusababisha maradhi ya kiakili (Alzheimer),...

Mzigo wa kansa waendelea kulemea wengi duniani

NA PAULINE ONGAJI MZIGO wa maradhi ya kansa uneandelea kuongezeka. Haya ni kulingana na makadirio yaliyotolewa na Shirika la kimataifa...

DKT FLO: Ninapatwa na matatizo ya UTI kila tunapojamiiana na mume wangu!

Mpendwa Daktari, MUME wangu anafanya kazi katika mji wa mbali ambapo sisi hukutana kati ya miezi miwili na mitatu. Tatizo ni kwamba...

Kula kabeji mara tatu kwa siku husaidia wanaume kupunguza unene

NA CECIL ODONGO KULA kabeji mara tatu kwa siku kunapunguza unene kupita kiasi miongoni mwa wanaume, wanasayansi wamebaini. Katika utafiti...