• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 5:10 PM

Kang’ata aandika barua akilia kuhusu kuharibika kwa mitambo spesheli ya matibabu hospitalini Murang’a

NA MWANGI MUIRURI SERIKALI ya Kaunti ya Murang’a imetoa tahadhari ikisikitika huenda wenyeji na wakazi wakakosa kupata matibabu ya...

Wadudu wa ‘Nairobi fly’ wanavyohangaisha Wakenya msimu wa El Nino na kuwaacha na vidonda vibaya

NA WANGU KANURI HUKU mvua kubwa ya El Nino ikipungua, Wakenya hawajaathirika tu na mafuriko au kukosa makazi bali pia kung’atwa na mdudu...

Jinsi ya kuandaa mlo bora bila kutumia mafuta

Na PAULINE ONGAJI Kutokana na sababu za kiafya, kuna baadhi ya watu ambao hawatumii chakula kilichopikwa kwa mafuta ya kukaanga. Kutokana...

Si kila mwasho ukeni husababishwa na kuambukizwa magonjwa ya zinaa

NA PAULINE ONGAJI WANAWAKE wengi huingiwa na wasiwasi wanapoanza kushuhudia mwasho ukeni siku kadhaa baada ya kushiriki tendo la...

Homoni za kiume huwa chache kwa wanaume wasiolala vya kutosha

NA CECIL ODONGO WANASAYANSI wanashauri kuwa mtu mzima anastahili kulala kwa kati ya muda wa saa saba hadi saa tisa ili kutokuwa na tatizo...

Maisha ya wanaume yanaendelea kuwa mafupi tangu mlipuko wa corona, watafiti wamebaini

Na CECIL ODONGO Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Carlifornia Marekani wamebaini kuwa mwanya kati ya maisha ya mwanaume na mwanamke...

Mama mjamzito avuka mto hatari uliofurika akitafuta hospitali ya kujifungulia

STEPHEN ODUOR MWANAMKE mjamzito katika Kaunti ya Tana River amewaacha wengi vinywa wazi baada ya kuvuka mto hatari akielekea hospitalini...

Ukivurugikiwa na akili, watoto wako nao pia watavurugika kitabia -Utafiti

Na CECIL ODONGO WATAFITI wamebaini kuwa mwanaume akiwa katika hali nzuri ya afya ya kiakili, mtoto ambaye huzaliwa huwa na tabia nzuri na...

Jamii yaambiwa ndoa za wake wengi huwaweka wanawake kwa hatari ya kansa ya mlango wa kizazi

NA KALUME KAZUNGU KANSA ya mlango wa kizazi inazidi kuathiri wanawake wengi katika Kaunti ya Lamu ambao sasa wanawanyooshea kidole cha...

Utafunaji miraa na michanganyiko ya ‘chewing gum’ husababisha kansa – Wataalamu

NA KALUME KAZUNGU IWAPO wewe ni mtafunaji miraa na muguka na unapenda kuchanganya na ‘chewing gum', tambuu na kuvuta tumbaku, basi...

Matumaini teknolojia mpya ya kutibu ugonjwa wa selimundu ikifanyiwa majaribio

NA PAULINE ONGAJI WAGONJWA wanaougua maradhi ya selimundu wana matarajio makubwa endapo teknolojia mpya ya matibabu inayofanyiwa...

Ole wako wewe mwenye kutumia simu msalani!

NA WANGU KANURI WATAALAMU wa afya wameonya dhidi ya matumizi ya simu mtu aendapo msalani. Kuketi msalani kwa muda mrefu pamoja na kukaza...