NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA mashuhuri wa Uganda, anayeishi Afrika Kusini, Zari Hassan amefichua mazungumzo yake na shabiki mmoja...
NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI Hamisa Mobetto amesema anarudi kwenye muziki, akitarajiwa kushirikiana na mwanamuziki...
NA WINNIE ONYANDO MSANII maarufu wa Bongo Flava, Diamond Platnumz, katika mahojiano ya kipekee na Taifa Leo amefichua kuwa bado ana...
NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Guardian Angel amezindua studio ya lebo ya Seven Heaven Musics almaarufu 7HM itakayotumiwa na vijana na...
Na SINDA MATIKO MWANAMUZIKI staa Marioo kakiri kwamba yupo tayari kulipa mahari ya Tsh100 milioni (Ksh6 milioni) kwa demu wake soshiolaiti...
NA MERCY KOSKEI SOSHOLAITI kwa jina Sheriffa Wambui, almaarufu Manzi wa Kibera na mumewe wa miaka 67 Samuel Nzuki Ndunda kwa jina la...
NA FRIDAH OKACHI MWANAKOTENTI Maureen Waititu alikutana kwa mara ya kwanza na Frankie Kiarie maarufu Frankie Just Gym It baada ya kuweka...
NA MERCY KOSKEI MCHUNGAJI tata wa Kanisa la Neno James Maina Ng’ang’a amewaacha wengi vinywa wazi baada ya kukataza wanawake...
NA FRIDAH OKACHI ESTHER Musila, mke wa mwanamuziki wa nyimbo za Injili Guardian Angel, ametunukiwa cheti na shirika la Umoja wa Mataifa...
NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI Jackie Matubia amelipukia mashabiki wake waliojaribu kumkebehi kwa kukosa kuhudhuria sherehe ya harusi ya...
NA FRIDAH OKACHI MFALME wa muziki wa Bongo Flava Diamond Platnumz, amewaacha mashabiki na mshangao kwa kuzungumza Kiingereza visivyo akiwa...
Na FRIDAH OKACHI MTUMBUIZAJI wa muziki wa Injili alifanya fujo Alhamisi jioni kwenye kituo cha polisi cha Muthangari akitaka dereva wake...