• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:25 PM

Diamond afunguka kuhusu madai ya kupunja wasanii wa Wasafi

NA SINDA MATIKO BAADA ya kumtambulisha msanii mpya, Diamond Platnumz sasa anasema yeye kuwasaini wasanii ni kuwafanyia hisani. Wiki...

Seneta mwenye ulemavu wa macho asisimua kwa kuzindua albamu ya HipHop

NA FRIDAH OKACHI SENETA maalum Crystal Asige amezindua albamu mpya inayofahamika kama Blinding Allure, yenye nyimbo sita. Albamu hiyo...

Mambo yamechemka: Mulamwah, Ruth K watangaza wanatarajia mtoto pamoja

NA FRIDAH OKACHI MPENZI wa Mulamwah, Ruth K ameweka wazi kwamba anao ujauzito kutokana na picha ambayo ameiweka kwenye mtandao wa kijamii...

Anapigwa mawe akiyageuza gorofa: Diana Marua aingia orodha ya 10-bora YouTube Afrika Mashariki

NA MERCY KOSKEI Mwanakontenti wa YouTube Diana Marua amepata nafasi ya 10 katika orodha ya wasanii wa kike walio na...

Mcheshi Mtumishi afanyiwa patanisho na mamake

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Gilbert Barasa almaarufu Mtumishi alipatanishwa na mamake mzazi kupitia njia ya simu na mtangazaji Massawe...

Akothee aliyeoga na kurudi soko, ametwaliwa tena na ‘Ex’ Nelly Oaks?

Na MERCY KOSKEI MWANAMUZIKI Akothee amewaacha wanamitandao na maswali mengi ikiwa wamerudiana na meneja wake wa zamani, Nelson Oyugi...

Avril achanganya mashabiki kwa kumsamehe J Blessing aliyedai alimpiga

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Avril Nyambura aomba mashabiki wake kumsamehe Produsa Jibril Blessing kwa tuhuma za kumchapa na...

Pasta atoa ushuhuda jinsi alivyoepuka kupata virusi vya Ukimwi licha ya uzinzi

NA FRIDAH OKACHI MCHUNGAJI wa kanisa la Life Church International-Kiambu, Anthony Kahura Mwangi almaarufu 'Pastor T Mwangi' ametoa...

‘Tiktoker’ Azziad Nasenya apuuzilia mbali uvumi kwamba ‘kuna mubaba nyuma ya ufanisi wake’

NA FRIDAH OKACHI 'TIKTOKER' maarufu nyumbani na ughaibuni, Azziad Nasenya, amesema alipata kazi katika Wizara ya Michezo kutokana na...

Seneta Karen Nyamu asimulia jinsi penzi lake kwa Samidoh ni gluu ‘permanent’

NA FRIDAH OKACHI SENETA maalum Karen Nyamu amefichua amewahi kujaribu kujitoa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanamuziki Samuel...

Ex wa Bahati, Yvette Obura ‘aringisha’ kadudu Nissan Note akisema ni bidii yake

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA Yvette Obura apiga hatua kwa kununua gari ambalo limesisimua mashabiki kwenye mtandao wa...

Koffi Olomide kutumbuiza nchini akiendelea kusahau masaibu ya 2016 alipofurushwa kwa kupiga mnenguaji

NA MERCY KOSKEI MWANAMUZIKI mahiri wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Koffi Olomide anatarajiwa kutumbuiza mashabiki wake nchini...