NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI mmiliki wa lebo ya WCB Wasafi Naseeb Abdul Juma almaarufu Diamond Platnumz, yuko njiani kuelekea visiwani...
NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Zuhura Othman almaarufu Zuchu ametangaza rasmi kuvunjika kwa mahusiano yake mpenzi wake Diamond...
NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa mtindo wa Africapopster Nadia Mukami amejitokeza kulaumu Chama cha Hakimiliki za Muziki Nchini...
NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Mumias Mashariki Peter Salasya na DJ Pierra Makena wanamezeana mate kiujanja, kila mmoja akitafuta fursa ya...
NA FRIDAH OKACHI BINTI wa Rais William Ruto, Charlene Ruto, amezindua shindano la ubunifu kwa kushirikisha vijana walio na ujuzi wa...
NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI Caroline Muthoni Ngethe almaarufu Carrol Sonie amezungumzia jinsi alivyokabiliana na msongo wa mawazo...
NA FRIDAH OKACHI UTATA unaozingira akaunti ya YouTube ya Director Trevor na mwigizaji Mungai Eve umefanya wengi kutafakari na kutoa...
NA FRIDAH OKACHI VITA vya usimamizi wa umiliki wa muziki nchini vinazidi kuongezeka. Hivi punde, msimamizi wa mikakati ya kidijitali...
NA FRIDAH OKACHI WANAMITANDAO wamemkosoa Pasta Boaz Ouma wa kanisa la wasabato (Seventh-day Adventist Church) wakitaka aelezee...
NA WANDERI KAMAU KWA miaka kadhaa sasa, kumekuwa na pengo kubwa katika tasnia ya muziki wa Injili nchini. Hili linafuatia hatua ya baadhi...
NA SINDA MATIKO KESI ya rapa Nyashinski imepigwa kalenda hadi Machi 13, 2024, ambapo anashtakiwa na produsa raia wa Nigeria kwa...
NA WANDERI KAMAU LICHA ya Siku ya Valentino kuzua hisia na msisimko wa aina yake mnamo Jumatano miongoni mwa Wakenya, wakazi wengi katika...