• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:25 PM

Diamond Platnumz aelekea ‘Zenji’ kumuomba Zuchu msamaha

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI mmiliki wa lebo ya WCB Wasafi Naseeb Abdul Juma almaarufu Diamond Platnumz, yuko njiani kuelekea visiwani...

Zuchu sasa amtema Diamond, aahidi kumakinikia kazi WCB

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Zuhura Othman almaarufu Zuchu ametangaza rasmi kuvunjika kwa mahusiano yake mpenzi wake Diamond...

Nadia Mukami adai MCSK inamkausha pesa za mrabaha kwa muziki wake

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa mtindo wa Africapopster Nadia Mukami amejitokeza kulaumu Chama cha Hakimiliki za Muziki Nchini...

PK Salasya na DJ Pierra Makena wamezeana mate ‘kufanya biashara’

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Mumias Mashariki Peter Salasya na DJ Pierra Makena wanamezeana mate kiujanja, kila mmoja akitafuta fursa ya...

Charlene Ruto atangaza shindano la mshindi kuchomoka na Sh100,000

NA FRIDAH OKACHI BINTI wa Rais William Ruto, Charlene Ruto, amezindua shindano la ubunifu kwa kushirikisha vijana walio na ujuzi wa...

Kuchapa baada ya kuachana na Mulamwah kulifanya niende VCT – Carrol Sonie

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI Caroline Muthoni Ngethe almaarufu Carrol Sonie amezungumzia jinsi alivyokabiliana na msongo wa mawazo...

Director Trevor, Mungai Eve waendelea kuwapa mashabiki sinema ya bure

NA FRIDAH OKACHI UTATA unaozingira akaunti ya YouTube ya Director Trevor na mwigizaji Mungai Eve umefanya wengi kutafakari na kutoa...

Mutua, Itumbi watiana makucha kuhusu malipo ya wanamuziki

NA FRIDAH OKACHI VITA vya usimamizi wa umiliki wa muziki nchini vinazidi kuongezeka. Hivi punde, msimamizi wa mikakati ya kidijitali...

Wanaume wa SDA si washerati, asema mhubiri na kuvutia rundo la maoni

NA FRIDAH OKACHI WANAMITANDAO wamemkosoa Pasta Boaz Ouma wa kanisa la wasabato (Seventh-day Adventist Church) wakitaka aelezee...

Chipukizi wanaopania kuleta mwamko mpya katika Injili nchini

NA WANDERI KAMAU KWA miaka kadhaa sasa, kumekuwa na pengo kubwa katika tasnia ya muziki wa Injili nchini. Hili linafuatia hatua ya baadhi...

Msanii Nyashinski ateswa na kesi mahakamani

NA SINDA MATIKO KESI ya rapa Nyashinski imepigwa kalenda hadi Machi 13, 2024, ambapo anashtakiwa na produsa raia wa Nigeria kwa...

Sababu za wengi mashambani kumwagia Valentino maji baridi

NA WANDERI KAMAU LICHA ya Siku ya Valentino kuzua hisia na msisimko wa aina yake mnamo Jumatano miongoni mwa Wakenya, wakazi wengi katika...