• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 12:48 PM

Gwiji wa utangazaji Joyce Gituro asimulia changamoto za ndoa

NA WANDERI KAMAU GWIJI wa utangazaji Joyce wa Gituro ameeleza jinsi ndoa yake ilivyokumbwa na changamoto nyingi na sababu zilizomfanya...

Kanyari: Maisha magumu yalinisukumu kuambia waumini kupanda mbegu ya 310

NA FRIDAH OKACHI PASTA Victor Kanyari aliyezingirwa na utata nchini, sasa amekiri mpango wake wa kuitisha Sh310 za waumini kupanda...

Amber Ray na Kennedy Rapudo wathibitisha ladha ya penzi ni mtoto

NA FRIDAH OKACHI SOSHIOLAITI Amber Ray na mpenziwe Kennedy Rapudo almaarufu 'Tajiri', kwa mara ya kwanza wameiweka sura ya binti yao...

Willy Pozee arejea kanisani baada ya miaka saba!

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Wilson Abubakar Radido almaarufu Willy Paul au Willy Pozee, amefichua kwamba kwa miaka saba hajakuwa...

MC Jessy adai Gen Z wafurika DM kuomba penzi lake kiujanja

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Jasper Muthomi almaarufu MC Jessy amesimulia jinsi alivyokubali majina anayopata kutoka kwa kizazi cha...

Njeeri akiri kuachana na Muigai wa Njoroge

NA WANDERI KAMAU MKEWE mwanamuziki wa nyimbo za Injili na kuishauri jamii mwenye ufuasi mkubwa eneo la Mlima Kenya John Muigai Nyururu...

DOMOKAYA: Katika ndoa za maceleb, nyuma ya pazia kuna vijimambo kama ndoa zingine tu

NA MWANAMIPASHO WANGWANA walishatuambia miaka ile, “lisemwalo lipo na kama halipo basi lipo njiani laja”. Mwaka jana nipo kijiweni,...

Filamu ya Bobi Wine yapata uteuzi Oscars

NA WANDERI KAMAU FILAMU iliyotayarishwa na mwanasiasa Robert Kyagulanyi almaarufu 'Bobi Wine' ambaye pia ni staa mkubwa wa muziki nchini...

Mr Seed akomoana na mkewe mtandaoni kwa kusema ‘mwanamume ni wa wanawake wengi’

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa nyimbo za Injili Moses Tarus Omondi almaarufu 'Mr Seed' ameomba msamaha kwa mkewe Nimo baada ya...

Mrembo wa kusaka mamilioni kwa mahindi aona dalili za ndoa 2027

NA MWANGI MUIRURI MWANAMKE aliyeapa kwamba ataolewa tu baada ya kuwa milionea katika kilimo cha mahindi, sasa anasema fatalaiza ya...

Wanandoa maarufu na mastaa Pascal Tokodi na Grace Ekirapa waachana

RAJAB ZAWADI NA FRIDAH OKACHI MIEZI kadhaa baada ya ndoa ya Philip Karanja maarufu kama Director Phil, na mwigizaji Kate Actress...

Jinsi YouTube inavyoendelea kuokoa vijana kujitengenezea mkwanja na kubadilisha maisha yao

NA WANDERI KAMAU KUTOKANA na kiwango kikubwa cha ukosefu wa ajira nchini na duniani kote, vijana wengi wamekuwa wakitafuta njia mbadala...