• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Wenye saluni wajitetea ‘umbea’ wao si wa kubomoa familia

NA WANDERI KAMAU WAFANYAKAZI katika saluni wamejitokeza kujitetea dhidi ya madai ya baadhi ya wanaume kwamba gumzo linalopigwa wanawake...

Staa wa ‘Mali Safi Chito’ apambania hakimiliki ya wimbo wake

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI Millicent Jerotich almaarufu ‘Marakwet Daughter’ amedai kwamba kuna kundi linalotaka kuchukua hakimiliki...

Mcheshi Muthee Kiengei sasa kutawazwa kuwa Askofu

NA WANDERI KAMAU NI dhahiri sasa kuwa Pasta Ben Gathungu almaarufu 'Muthee Kiengei' atatawazwa kuwa Askofu. Kulingana na tangazo...

Mchekeshaji Dkt Cassypool adai ni chawa wa Rais

NA JURGEN NAMBEKA MCHEKESHAJI mwenye sifa na ufuasi mkubwa mtandaoni, Dkt Cassypool, amewarai vijana kutoka ukanda wa Pwani na Kenya kwa...

Betty Kyallo afichua kuliendaje na Stivo Simple Boy

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA na mwanahabari Betty Mutei Kyallo amefunguka kuhusu mkutano wake wa hivi majuzi na rapa Stephen Otieno...

Waithaka wa Jane: Mfalme wa ‘Mugithi’ asiyekunywa pombe

NA WANDERI KAMAU WAKATI mwanamuziki wa mtindo wa Mugithi, Salim Junior, alipofariki mnamo 2021, kifo chake bila shaka kilikuwa pigo kubwa...

Mike Rua: Mimi ndiye ‘Big Daddy’ wa Mugithi wengine wakijiita wafalme

NA MWANGI MUIRURI MTINDO wake wa kupiga gitaa ni wa kipekee na wasanii wengi huwa wamekubaliana kwamba Mike Rua ni mwalimu wa kuheshimiwa...

DOMOKAYA: Hivi kweli haya mapenzi yana maana gani haswa? Binadamu hapendeki!

NA MWANAMIPASHO Duh! Hivi wanazengo hebu soogeni karibu niwaulize jambo. Hivi kweli haya mapenzi yana maana? Maana mimi binafsi sioni....

Huyu Joy Kendi atakupa siri ya kuwa ‘influensa’

NA SINDA MATIKO JOY Kendi ni miongoni mwa mafashonista wanaotetemesga hapa nchini. Lakini pia ni mtalii wa ndani na nje ya nchi. Kutokana...

Dorcas Rigathi ampamba DP Gachagua kwa maneno matamu

NA FRIDAH OKACHI MKE wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Bi Dorcas Rigathi, amempamba mume wake kwa maneno matamu akiadhimisha siku yake ya...

Zari asema hajaingiza mdudu kwa penzi la Mondi na Zuchu

NA FRIDAH OKACHI SOSHIOLAITI Zarinah Hassan ambaye wengi humuita Zari Hassan huku mwenyewe akipendelea kujiita Zari the Boss...

Oga Obinna ashangaa kuambiwa ustaa wake hauruhusu kuishi nyumba ya kupanga

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Steve Thompson Maghana almaarufu Oga Obinna, ameshangaa baada ya kuambiwa ni makosa makubwa kwa mtu maarufu...