• Nairobi
  • Last Updated October 2nd, 2023 10:00 AM

JUNGU KUU: IEBC gae Chebukati, wenzake wakistaafu

NA BENSON MATHEKA KUANZIA Jumanne, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC), haitakuwa na makamishna kufuatia kukamilika kwa...

WALIOBOBEA: Sambili: Mwanamke wa kwanza Mtugen kuwa mbunge, waziri

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK MNAMO Desemba 29, 2007 gazeti ya Daily Nation lilikuwa na habari yenye kichwa ‘Uchaguzi wapeleka...

MIKIMBIO YA SIASA: Atwoli sasa aponda Uhuru akijipendekeza kwa Rais Ruto

NA CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa muungano wa wafanyakazi nchini (COTU) Francis Atwoli sasa amemgeuka Rais mstaafu Uhuru Kenyatta...

Sagana I: Gachagua aiga Uhuru

NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua sasa ameanza kufuata nyayo za Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kuandaa vikao vya Sagana katika...

JUKWAA WAZI: Seneta Osotsi, Koech wachafuana kuhusu ‘ukweli’ wa Rais Ruto

NA WANDERI KAMAU JE, Rais William Ruto aliwahadaa Wakenya kuhusu ahadi alizotoa kwao wakati wa mahojiano ya pamoja aliyofanyiwa Alhamisi...

MIKIMBIO YA SIASA: Raila ‘aruhusu’ magavana wake kufanya kazi na Ruto

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga amekunja mkia na kuamua kuwapa magavana wake kibali cha kufanya...

KIGODA CHA PWANI: Matarajio ya Wapwani kisiasa mwaka mpya unapoanza leo

PHILIP MUYANGA NA JURGEN NAMBEKA MWAKA wa 2022 uliokamilika jana Jumamosi ulikuwa na mafanikio mengi kwa wanasiasa wa eneo la Pwani, wengi...

WALIOBOBEA: Sally Kosgei: Alikuwa balozi mzalendo mwenye siri tele

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK ILIIBUKA wazi kuwa kutokana na rambi rambi zake katika mazishi ya Moi mnamo Februari 2020, kwamba Sally...

JAMVI LA SIASA: Uasi mpya watishia kuvuruga ODM

NA CHARLES WASONGA MUSTAKABALI wa chama cha ODM kinachoongozwa na kiongozi wa upinzani Raila Odinga, uko hatarini kutokana na uasi ambao...

KIGODA CHA PWANI: Uchaguzi mkuu ulivyobadili mkondo wa siasa za Pwani

NA PHILIP MUYANGA JE, wananchi wa Pwani wamefaidi kutokana na siasa za ukanda mzima mwaka huu ambao unaelekea kutamatika? Hili ni...

SOKOMOKO: Wivu wa mapenzi huenda utamvua Nyamu useneta

NA CHARLES WASONGA WASWAHILI waligonga ndipo walipoamba kwamba; mapenzi ni kikohozi, hayafichiki. Ukweli wa msemo huu ulidhihiri...

JUNGU KUU: Gachagua atajiponza ‘akiupigania’ Mlima

NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua yuko katika hatari kujikwaa kisiasa katika juhudi za ‘kulitetea’ eneo la Mlima Kenya,...