• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 11:28 AM

Maridhiano ‘yapiga hatua’ Azimio wakikubali kushiriki mapumziko ya wiki nzima Nakuru

NA LABAAN SHABAAN SHUGHULI za Kamati ya Kitaifa ya Mazungumzo ya Maridhiano (NADCO) zinaonekana kupiga hatua. Hii ni kufuatia...

Kenya ina bahati kunichagua rais kuwaongoza wakati huu mgumu, Ruto asema

NA LABAAN SHABAAN RAIS William Ruto amesema kuwa yeye ndiye kiongozi anayefaa kuokoa nchi wakati wa hali ngumu ya kiuchumi. Wakenya...

Dalili Gachagua sasa anajipanga kulinda nafasi yake katika Kenya Kwanza

Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameonekana kuanza kujipanga kisiasa kwa kujiweka katika nafasi bora ya kuibuka kuwa msemaji...

Handisheki ya ‘siri’ yazua hofu Mlima Kenya

NA WANDERI KAMAU HOFU imezuka kuhusu mustakabali wa kisiasa wa ukanda wa Mlima Kenya, kufuatia madai ya baadhi ya wanasiasa katika eneo...

KIGODA CHA PWANI: Mbeyu ndiye Simba Jike mpya wa siasa za Kilifi

NA PHILIP MUYANGA AZMA ya Mbunge wa Kike wa Kaunti ya Kilifi Bi Getrude Mbeyu kuwania ugavana mwaka wa 2027 imeonekana kutifua kivumbi cha...

Kinyanjui ajinyanyua mwaka mmoja baada ya kulambishwa sakafu na Susan Kihika Nakuru

NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA Gavana wa Nakuru, Bw Lee Kinyanjui, anaonekana kujinyanyua upya kisiasa, mwaka mmoja baada ya kuangushwa na...

KINAYA: Baba RAO ndiye kigogo wa Luo Nyanza kweli?

NA DOUGLAS MUTUA MBONA wanasiasa wa Nyanza wanamuona RAO kama simba mzee asiyeweza kujinasia windo akala? Au, bora zaidi, kama ghala...

KINAYA: Gachagua atawaweza nyuki wa Ukambani aliochokoza?

NA DOUGLAS MUTUA RIGGY G amechokoza nyuki wa Ukambani! Anawezaje kuwaambia wamteme mwana wao mpendwa, Kalonzo Musyoka, kama...

KINAYA: Wenye hisa za Kenya wakate miti tusijinyonge!

NA DOUGLAS MUTUA HIVI una hisa za kumiliki Kenya au unatoka kabila ‘sosa’? Naambiwa umiliki wa nchi hii, ambayo inachukuliwa...

Haji ni fuko wa Raila?

NA MWANGI MUIRURI MWEZI mmoja tu baada ya Mkurugenzi wa Idara ya Ujasusi nchini (NIS) Noordin Haji kuapishwa, baadhi ya wanasiasa wa...

JUNGU KUU: Ruto atarajie presha kali kutoka kwa Raila

NA WANDERI KAMAU UREJEO wa kiongozi wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga, nchini unatarajiwa kuongeza shinikizo kwa Rais William Ruto...

Mtego wa Azimio ulivyomnasa Ruto

NA BENSON MATHEKA MAZUNGUMZO kuhusu maridhiano yanayohusisha wabunge wa miungano miwili ya kisiasa nchini yameonyesha dalili za kugonga...