• Nairobi
  • Last Updated October 2nd, 2023 8:00 AM

MIKIMBIO YA SIASA: Ongwae, Ong’era wamtaliki Baba kudoea minofu ya Ruto

NA CHARLES WASONGA HATUA ya Gavana wa zamani wa Kisii James Ongwae na aliyekuwa Mbunge Mwakilishi wa kaunti hiyo Janet Ong’era kugura...

KIGODA CHA PWANI: Madeni, ufisadi vyadumaza ukuaji wa Kaunti za Pwani

NA PHILIP MUYANGA SUALA la ukosefu wa fedha na madeni chungu nzima katika kaunti nyingi zikiwemo zile za ukanda wa Pwani limekuwa donda...

WALIOBOBEA: Obure: Moi, Kibaki na Uhuru walimwaminia

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK KAMA sehemu ya mazungumzo ya kukomesha ghasia zilizozuka nchini baada ya uchaguzi mkuu wa 2007, serikali...

WALIOBOBEA: ‘Sirkal’ alipokataa wadhifa serikalini

KWA HISANI YA KENYA YEARBOOK NCHINI Kenya, nyadhifa za uwaziri haziwezi kuchukuliwa kama zinazotoshana- au kuwa sawa. Kila moja ina...

Jumuiya ya kaunti za Pwani: Raia wanataka kuona vitendo, huduma

NA PHILIP MUYANGA MATAMSHI ya magavana wa kaunti sita za ukanda wa Pwani ya kuweka kando tofauti zao za kisiasa ili kuangazia maendeleo...

MIKIMBIO YA SIASA: Kwa mkakati huu, Sakaja yuko vizuri!

NA CHARLES WASONGA UAMUZI wa Gavana wa Nairobi Johson Sakaja kuteua wafuasi wa Azimio la Umoja-One Kenya katika baraza lake la mawaziri...

JUNGU KUU: Hofu ya Ruto ‘kutekwa’ na mawaziri rafiki zake

NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto anakabiliwa na kibarua kigumu kutimiza ahadi alizotoa kwa Wakenya, baada ya baraza lake la mawaziri...

JAMVI LA SIASA: Ruto angemtumia Kalonzo kuatika mbegu ya udikteta

NA CHARLES WASONGA JUHUDI za Rais William Ruto za kutaka kumvutia kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka katika serikali yake ya Kenya Kwanza...

KIGODA CHA PWANI: Wapigakura watarajia makuu kwa wawakilishi wao wa kike

NA MWANDISHI WETU JE, wabunge wa kaunti wanaowakilisha kina mama katika ukanda wa Pwani wana mipangilio gani kwa wananchi waliowachagua...

JUKWAA WAZI: Junet, Ichung’wa wakabana koo kuhusu ‘umahsusi’ wa Linturi wizarani

NA WANDERI KAMAU BILA shaka, ni hitaji la msingi kwa waziri kufahamu majukumu anayofaa kutekekeza katika wizara aliyoteuliwa...

JUNGU KUU: Mzozo mpya Meru mtihani kwa Ruto

NA WANDERI KAMAU MASAIBU yanayomkumba Gavana Kawira Mwangaza wa Meru, yamefungua ukurasa mpya kuhusu mivutano ambayo imekuwepo kati ya...

JUNGU KUU: Hofu Ruto anadhibiti bunge na mahakama

NA CHARLES WASONGA HUKU Rais William Ruto akimaliza mwezi mmoja tangu kuapishwa kwake kuwa rais wa tano wa Jamhuri ya Kenya, maswali...