• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

JAMVI LA SIASA: Hii ndiyo hatari ya Rais Ruto kuandama Uhuru

NA BENSON MATHEKA TANGU ufichuzi wa kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga kwamba huenda alishinda urais katika uchaguzi mkuu...

JUNGU KUU: Ubabe wa Machogu na Matiang’i u wazi Gusii

NA WANDERI KAMAU IMEBAINIKA kuwa moja ya kiini cha ‘masaibu’ ya kisiasa yanayomwandama aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani, Dkt...

WALIOBOBEA: Uhuru alipewa jina hilo na Mwai Kibaki

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK ALIPOZALIWA mwana wa Ngina Muhoho na Mzee Jomo Kenyatta miaka ya mwisho ya ukoloni Oktoba 1961, ni Mwai...

KIGODA CHA PWANI: MCAs wawe huru kuwahoji mawaziri wateule wa Nassir

NA PHILIP MUYANGA BAADA ya Gavana wa Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir kuteua baraza lake la mawaziri mwezi uliopita kumekuwa na...

JUNGU KUU: Vita vya Uhuru na Ruto kufaidi Raila

NA CHARLES WASONGA VITA vipya vilivyochipuza kati ya Rais William Ruto na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta huenda vikamfaidi kiongozi wa...

Ruto anavyomfufua Uhuru kisiasa

NA WANDERI KAMAU HATUA ya serikali ya Rais William Ruto kumpunguzia walinzi Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na baadhi ya waliokuwa mawaziri...

WALIOBOBEA: Haji: Afisa wa utawala na mwanasiasa nguli

KWA HISANI YA KENYA YEARBOOK MOHAMMED Yusuf Haji alikuwa mmoja wa wakuu wa mikoa chini ya utawala wa chama cha KANU hadi 1997,...

KIGODA CHA PWANI: Uamuzi wa mahakama utaunganisha viongozi wa Kaunti ya Kwale

NA PHILIP MUYANGA BAADA ya Mahakama Kuu kuthibitisha kuchaguliwa kwa Bi Fatuma Achani kama gavana wa Kwale maoni tofauti tofauti...

JUKWAA WAZI: Uhuru, Methu waelekezeana mishale kuhusu suala la kulipa ushuru

NA WANDERI KAMAU KULIPA ushuru ni kujitegemea. Ndiyo kauli ya Halmashauri ya Kukusanya Ushuru Kenya (KRA). Hata hivyo, swali linaloibuka...

MIKIMBIO YA SIASA: Kujiuzulu Mwakwere kuumiza Wiper Pwani

NA CHARLES WASONGA USHAWISHI wa chama cha Wiper unatarajiwa kushuka katika eneo Pwani kufuatia kujiuzulu kwa mwenyekiti wake wa kitaifa...

JAMVI LA SIASA: Maasi ya Raila ni ‘moto wa karatasi’

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga anapotarajiwa kuongoza mkutano wa pili wa hadhara jijini Nairobi...

WALIOBOBEA: Soita aliifaulisha miradi mingi ya makao katika enzi ya Kibaki

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK PETER Soita Shitanda alikuwa kile ambacho waziri katika serikali ya Rais Mwai Kibaki alipaswa kuwa....