• Nairobi
  • Last Updated December 5th, 2023 10:25 PM

MWALIMU WA WIKI: Ni mwalimu mwandishi anayelenga uanahabari

NA CHRIS ADUNGO YEYOTE ambaye amesomea kazi ya ualimu anatakiwa kuwa kielelezo chema, mwadilifu na mwajibikaji. Zaidi ya kuwa mbunifu...

TALANTA: Gwiji wa sataranji

NA RICHARD MAOSI MCHEZO wa Sataranji almaarufu Chess unaweza kuchezwa na kundi la watu wenye umri wowote, sehemu yoyote ikiwemo ndani na...

GWIJI WA WIKI: Dotto Rangimoto

NA CHRIS ADUNGO MWANDISHI asiye na ujuzi wa kutumia lugha kwa ufundi hukosa uhuru wa kusema anachokitaka kwa jinsi anavyotamani kifikie...

MWALIMU WA WIKI: Mwalimu kiongozi alengaye uhadhiri

Na CHRIS ADUNGO MWALIMU aliye na wito wa kufundisha na mapenzi ya dhati kwa taaluma yake, ana jukumu la kuchochea wanafunzi wake kupiga...

TALANTA YANGU: Favour ni nyota katika uigizaji

NA PATRICK KILAVUKA ANASEMA kukipenda unachokifanya ni njia ya kukuza hamu na ari ya kukifanya kwani kipendacho roho hula nyama...

MALENGA WA WIKI: Zamu leo ni ya msomi maarufu na mshairi kutoka Tanzania

NA HASSAN MUCHAI LEO tumebahatika kumpata mshairi, mhadhiri, mwanafalsafa , mtetezi wa dini na msomi maarufu kutoka taifa jirani la...

Washindi wa insha za ‘Taifa Leo’ watuzwa Sh50,000 kila mmoja

NA CHRIS ADUNGO WANAFUNZI sita walioibuka mabingwa wa kitaifa katika ‘Shindano la Uandishi wa Insha za Taifa Leo’ katika miaka ya...

Kiswahili na Viswahili: Je, kuna haja au hatari yoyote ya kuwa na aina moja tu ya Kiswahili Sanifu?

NA PROF IRIBE MWANGI MNAMO Novemba 24 mwaka jana (2022), niliandika kumhusu Mzee Abdilatif Abdala nikasema: (yeye ni) jagina, ustadh,...

NDIVYO SIVYO: Tofauti iliyopo baina ya maneno ‘moyo’ na ‘roho’

NA ENOCK NYARIKI LUGHA za kwanza hukumbwa na utata katika kupambanua msamiati ‘roho’ na ‘moyo’. Waama, katika lugha hizo, halipo...

USHAURI NASAHA: Hakikisha una mwanzo mzuri na imara katika ngazi mpya masomoni

NA HENRY MOKUA KILA mara jambo jipya huzua uchangamfu unaofungamana na wasiwasi wa namna fulani. Anayelitazamia huvutiwa na wazo...

NGUVU ZA HOJA: Vyuo anuwai vitumie sasa Kiswahili kufunzia kozi ya ‘Mbinu za Mawasiliano’

NA PROF JOHN KOBIA HIVI majuzi nilisoma tangazo la kozi mbalimbali zinazotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Utabibu cha Kenya (Kenya Medical...

Vitushi katika hadithi fupi ‘Mapambazuko’

MZEE Makutwa na Mzee Machuka ni mahirimu waliosuhubiana tangu utotoni. Kabla ya kustaafu, walikuwa watumishi wa umma. Mzee Makutwa alikuwa...