• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Hapa kupunjwa tu: Wakulima wanavyolazimishwa kurefusha magunia ya viazi

NA LABAAN SHABAAN KILIMO Biashara cha viazi kimenoga Kaunti ya Narok hasa eneo la Olorropil sehemu za kaskazini ya kaunti. Katika...

Samidoh: Hizi drama zangu nazipenda sana, zinanipa hamu ya kuishi

Na SINDA MATIKO STAA wa mugithi, Samuel Muchoki, almaarufu Samidoh anasema anayahusudu maisha anayoishi pamoja na drama zote za wanawake...

Kiki ya mcheshi KK Mwenyewe ya kula pilipili yaishia kukimbizwa hospitalini

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Zachariah Kariuki almaarufu KK Mwenyewe ameruhusiwa kwenda nyumbani baada ya kutafuta tiba katika hospitali...

Umuhimu wa watoto wadogo kupata usingizi wa kutosha

NA MWANDISHI WETU WAKATI pacha wake James Mwema (aliomba jina libadilishwe) walikuwa wanazaliwa, ilikuwa siku njema maishani mwake. Hata...

Miguu yangu imefura na kujaa majipu ila daktari haoni tatizo!

Mpendwa daktari, MIGUU yangu imefura kwa miezi kadhaa sasa, na pia sehemu hii imejaa majipu na hivyo kunisababishia maumivu mengi....

Faida za ndimu si jikoni pekee bali hata kwa urembo

NA PAULINE ONGAJI NDIMU hutumika hasa jikoni kwa mapishi na hata usafi. Lakini je, wajua kwamba hata katika masuala ya urembo na...

Unyama wa kutisha: Takwimu zaonyesha kila watoto 10 Gusiiland, watatu wamedhulumiwa kimapenzi

NA WYCLIFFE NYABERI INGAWA uhamasishaji mkubwa umetolewa dhidi ya unyanyasaji wa kingono, visa vya watoto kudhulumiwa kingono katika eneo...

Kilio kwa vijana ‘waliowekeza’ mtandaoni tovuti ilipozimika ghafla ikaenda na pesa zao

NA FRIDAH OKACHI WAWEKEZAJI wanalia baada ya kupoteza kiasi kikubwa cha pesa baada ya kushawishika na kujiunga, kisha kuwekeza kupitia...

Kiwanda kipya cha klinka ya simiti chatoa nafasi 2,500 za kazi Pokot, je kitamaliza ujangili?

NA OSCAR KAKAI WAKAZI katika Kaunti ya Pokot Magharibi wana matumani makubwa kunufaika na kiwanda cha kutengeza klinka ya saruji...

Wamekwepa skendo na drama licha ya kuweka penzi hadharani

NA SINDA MATIKO UNAPOKUWA staa tena uwe kwenye mahusiano, ni vigumu sana kuepuka mahusiano yako kupigwa msasa. Mapaparazi siku zote...

Nazizi afunguka jinsi mwanawe mdogo alifariki wakiwa hotelini Tanzania

NA SINDA MATIKO MIEZI mitatu baadaye, rapa Nazizi kwa mara ya kwanza amefunguka mazingira yaliyopelekea mwanawe kufariki huku akikana...

Meneja alia kukaushwa tangu Stevo Simple Boy azirai kwenye runinga

NA FRIDAH OKACHI CHINGIBOY Mstado ambaye ni meneja wa msanii Stephen Otieno Adera almaarufu Stivo Simple Boy amefichua kutokuwa na...