• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Demu wangu aliniomba nauli akisema anatembelea wazazi lakini hajarudi

Mpenzi wangu aliondoka wiki mbili zilizopita akaniambia anaenda kutembelea wazazi wake mashambani. Aliniomba pesa za nauli na bado mpaka...

Fahamu faida ya makundi ya wakulima na wafanyabiashara wadogo

NA BENSON MATHEKA UKIWA mfanyabiashara au mkulima mdogo, ungana na wengine kwa manufaa yako. Wataalamu wa biahara na masuala ya fedha...

Waziri Kuria ‘mwanasiasa’ Ruto hana budi kumvumilia na sarakasi zake

NA MWANGI MUIRURI KATIKA siku za hivi karibuni, Waziri wa Utendakazi wa umma Bw Moses Kuria amejipa nembo ya mwanasiasa ambaye humkanganya...

Itumbi aahidi urejeo wa kumulikwa macho na kampuni ya Worldcoin

NA MWANGI MUIRURI BW Dennis Itumbi ambaye ni mwandani wa Rais William Ruto sasa anataka kampuni ya Worldcoin iliyokuwa ikimulika watu...

Barobaro anavyoteka wazungu kushabikia mboga zake

NA SAMMY WAWERU NZIVOO Katoo, mwanzilishi wa Green Leaf Veggies Africa, yuko kwenye safari kuonyesha tija za mboga asilia za Afrika...

Seneta mcheshi anayetumia kicheko kama ‘dawa’ ingawa ashawahi kujipata motoni

NA WANDERI KAMAU YEYE ni mwanasiasa, lakini anakiri kwamba, asingalikuwa mwanasiasa, pengine angekuwa mcheshi. Hiyo ndiyo sifa ya Seneta...

Tamaa ya pesa ilivyogeuka kilio kwa wakazi

NA BENSON MATHEKA WAKAZI wa lokesheni ya Kaewa iliyoko katika milima ya Iveti Wilayani Kathiani walikuwa wakisifika kwa bidii yao...

Polisi mstaafu mwenye umri wa miaka 102 bado anasoma Taifa Leo

NA BENSON MATHEKA  ALISTAAFU mwaka wa 1964, mwaka mmoja tu baada ya Kenya kupata uhuru. Na sasa akiwa na umri wa miaka 102, Koplo wa...

Wakenya wachongoana mitandaoni wakisherehekea ‘April Fool’s Day’

NA WANDERI KAMAU KILA mwaka, Wakenya huungana na dunia nzima kusherehekea Siku ya Kupumbazana (April Fool’s Day), ambayo huadhimishwa...

Sura mpya ya Uhuru Park

NA WANDERI KAMAU MWONEKANO mpya wa bustani la Uhuru Park umezua msisimko wa aina yake miongoni mwa wakazi wa jiji la Nairobi na Wakenya...

Utasukumwa jela kwa kukosa kumeza dawa kwa mujibu wa maelezo ya daktari

NA BENSON MATHEKA UNAJUA kwamba unaweza kufungwa jela kwa kukosa kumeza dawa unavyoagizwa na daktari? Unajua kukosa kuzitumia ipasavyo...

Muigizaji Omosh aeneza injili ya ukombozi baada ya kuacha pombe

NA WANDERI KAMAU MNAMO Februari 2021, mwigizaji Joseph Kinuthia, maarufu kama ‘Omosh’, alishangaza Wakenya wengi, alipobubujikwa na...