• Nairobi
  • Last Updated December 5th, 2023 8:55 PM

Sababu ya waumini wa Akorino kuomba ‘mvua ya moto’ itembelee kilabu kimoja Ruiru

NA MWANGI MUIRURI Muungano wa wauminu wa dini ya Akorino nchini umetishia kulaani moto kilabu kimoja mjini Ruiru. Hii ni kufuatia...

Kizaazaa babu aliyeenda kununua mahaba kugundua mtumbuizaji ni mjukuu wake damu moja

NA MWANGI MUIRURI Kulizuka kizazaa Ijumaa ya Desemba 1 katika lojing'i moja ya Kaunti ya Kirinyaga baada ya babu aliyekuwa ameenda...

Arati kwenye kinywa cha mamba Naibu wake akiungana na mahasimu

NA WYCLIFFE NYABERI Huenda msimamo mgumu wa Gavana wa Kisii Simba Arati wa kutowalipa wanakandarasi mabilioni ya pesa wanayodai serikali...

Mbunge Milly Odhiambo atumai hata yeye atapata mtoto uzeeni kama yule nyanya wa Uganda

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Suba Kusini Millie Mabona Odhiambo; amechangamsha wanamtandao kwa kujipa moyo kwamba huenda akajifungua siku za...

Kuna wakati nilitaka kujitoa uhai sababu ya jumbe nyingi za chuki – Azziad Nasenya

NA FRIDAH OKACHI MWANAKONTENTI Azziad Nasenya amewashukuru mashabiki na familia yake kumjulia hali, baada ya kuzungumzia jinsi...

Hivi mnajua anachofanya mkewe Guardian Angel kudumisha shepu mnayoiona?

NA SINDA MATIKO MKE wa msanii wa injili Guardian Angel, Esther Musila mwenye umri wa miaka 52, amefichua siri ya umbo na mwonekano wake wa...

Harusi hatuna: Jinsi gharama imeingiza baridi wapenzi waliotaka kufunga harusi 2023

NA WINNIE ONYANDO GHARAMA ya maisha inapoendelea kupanda, wapenzi wanaopanga harusi sasa wamebaki njia panda kwani bei za bidhaa...

LUGHA NA FASIHI: Tafsiri ya riwaya ‘The Alchemist’

Na CHRIS ADUNGO MWANDISHI Ali Attas ni bingwa wa kutumia ala mbalimbali za fasihi kusawiri taratibu za maisha ya wanajamii kupitia tungo...

Muuzaji wa kuku anayefukuzana na ndoto kuwa wakili

NA VITALIS KIMUTAI VIJANA wenzake walipokuwa wakijihusisha na kazi na maisha ya familia, Kibet Maritim Agustine kutoka kijiji cha Masare...

Niliteswa kama mbwa: Mwanamke asimulia ukatili wa kutisha akiwa mjakazi Saudi Arabia

NA MERCY KOSKEI Lucy Wanjiku, mwenye umri wa miaka 45 kutoka kijiji cha Ngodu, Njoro, Kaunti ya Nakuru, aliondoka Kenya kuelekea...

Mshangao chatu mkubwa akipatwa jumba la kifahari wakati wa ubomozi

SHABAN MAKOKHA na CECIL ODONGO Kulikuwa na mshangao Jumatano Novemba 29, 2023 baada ya joka kubwa kupatikana kwenye makazi ya kifahari...

Kauli ya Wallah: Baada ya mtihani wa shuleni, sasa fahamu kuna mitihani ya maisha duniani!

NA WALLAH BIN WALLAH KWANZA kabisa niwapongeze wanafunzi wote wapendwa waliovumilia kutumia muda wao wa miaka mingi kusoma shuleni hadi...