• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 2:07 PM

Kituo cha Turkwel Gorge chapoteza mvuto, uvundo ukisheheni

NA OSCAR KAKAI TAKA katika kituo cha Turkwel Gorge Resort Club zimesababisha uvundo wa kila aina kuhanikiza, hali hii ikizorotesha...

Habida Moloney: Nilitumia Sh500,000 kwa tiba ya koo kurejesha sauti

NA SINDA MATIKO MWANAMUZIKI Habida Moloney kafichua kuwa operesheni ya koo aliyofanyiwa mwezi Februari nchini India kuondoa uvimbe...

Mazishi ya Brian Chira yadhihirisha ushawishi mkubwa wa mitandao ya kijamii

NA WANDERI KAMAU MAZISHI ya ‘tiktoker’ Brian Chira yaliyofanyika Jumanne katika eneo la Githunguri, Kaunti ya Kiambu, yameonyesha...

Uhaba wa maji huenda ukatumbukiza dunia kwa machafuko – Ripoti

NA MARY WANGARI UHABA wa maji unaozidi kuongezeka huenda ukachochea uhasama mkubwa baina ya wanajamii na kuvuruga amani barani Afrika na...

Wakenya wapunguza furaha, kulikoni?

NA WANDERI KAMAU KENYA imeshuka katika orodha ya mataifa yenye kiwango cha juu zaidi cha furaha kote duniani. Hayo ni kulingana na ripoti...

Acha kukaa vibarazani, jipe shughuli – Ushauri

NA BENSON MATHEKA KANDO na taaluma ambayo watu husomea, kuna kazi nyingi ambazo watu wanaweza kufanya na kujiendeleza kimaisha badala ya...

Al-Shabaab warudisha kilimo cha zingifuri kuwa ‘sufuri’

NA KALUME KAZUNGU KILIMO cha zingifuri, yaani bixa kinakabiliwa na pandashuka tele, mojawapo ikiwa ni changamoto ya mashambulio ya mara...

Mazoea kuiba divai ya babake kasisi yalivyomgeuza gwiji wa pombe

DOMNIC OMBOK NA WANDERI KAMAU SAFARI ya Bw Godfrey Ochola kukabiliana na uraibu wa pombe ilianza bado akiwa mtoto. Akiwa mchanga,...

Pasta Ezekiel Odero alivyotatizika kwa kukosa nguvu za kiume

NA SINDA MATIKO MUHUBIRI tajika Ezekiel Odero amefichua namna alivyohangaika na kukosa nguvu za kiume kwa zaidi ya...

‘Manabii’ wanavyonyofua hela za maskini

NA BENSON MATHEKA NI saa nane mchana katikati ya mtaa wa mabanda wa Kibra jijini Nairobi.  Ndani ya chumba cha udongo, kundi la watu...

Habida: Ilinigharimu Sh500, 000 kufanya upasuaji wa koo

NA SINDA MATIKO MWANAMUZIKI Habida Moloney amefichua kuwa oparesheni ya koo aliyofanyiwa mwezi uliopita (Februari 2024) India,  kuondoa...

Yummy Mummy afichua alivyoacha kazi nzuri kuokoa ndoa yake

NA SINDA MATIKO MWANAPODKASTA na mtengenezaji maudhui maarufu Murugi Munyi amefichua kuwa ndoa yake ndiyo ilimfanya kuacha kazi ya...