• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:55 AM

Masaibu bondeni Kerio yahusishwa na nguvu za giza

NA OSCAR KAKAI TANGU serikali ilipotangaza operesheni ya Maliza Uhalifu katika eneo la Kerio Valley, kumeshuhudiwa matukio mengi...

Uchaguzi wa mashinani unavyotishia UDA, ODM

NA BENSON MATHEKA VYAMA viwili vikubwa vya kisiasa nchini vinakabiliwa na wakati mgumu vinapojiandaa kwa uchaguzi wa mashinani ambao...

Nilivyomjua Sajini Nyawira: Mwanajeshi huyo mpiga picha alikuwa kipenzi cha wanahabari

NA KALUME KAZUNGU “KALUME Kazungu, uko wapi? Bado dakika chache tuondoke wajua. Fanya hima.” Hayo mara nyingi ndiyo yaliyokuwa...

Mamake demu wangu amenipa ombi la kushangaza

Shangazi, Mpenzi wangu ndiye mtoto wa pekee na mama yake hajaolewa. Juzi nilishangaa mama yake aliponipigia simu akisema ananipenda na...

Ifahamu densi ghali yenye nidhamu ya juu ambayo ukichafua mavazi unakanyaga nje

NA KALUME KAZUNGU LAMU imebarikiwa kwa kuwa na aina mbalimbali za ngoma au densi za asili. Ni densi ambazo zinaenziwa pakubwa kwani...

Kutana na wanakijiji ambao ndoto yao kubwa ni kuzuru miji kuona gorofa, uwanja wa ndege

NA OSCAR KAKAI KIJIJI chenye sifa si haba cha Long’urukau katika wadi ya Suam, katikati ya mazingira yenye joto jingi, mimea mikavu na...

Miaka 30 ya balaa tupu: Simulizi za vijana watatu walivyokaribisha umri ‘unaoogopwa’

NA FRIDAH OKACHI MIAKA ya thelathini katika maisha huwa yenye hisia tofauti. Kufikisha umri wa miaka 30 kwa wengine huwa jambo la...

Kila wakati tukipatana lazima achovye asali, yaani ni kama sheria

Hujambo Shangazi, Nina mwanamume mpenzi wangu ambaye nampenda kwa dhati. Tatizo lake ni kuwa kila wakati tukikutana ni lazima adai asali....

Instagram ilinipa mume, asema Rev Lucy Natasha

NA FRIDAH OKACHI MHUBIRI wa kanisa la Empowerment Christian Church, mjini Nairobi, Bi Lucy Natasha, amefichua kuwa alipatana na...

Sababu iliyonifanya nirushe chini bunduki na kuchukua Biblia

NA OSCAR KAKAI ILIKUWA bahati alivyoponyoka kifo mara nyingi akiwa katika uhalifu. Anapokumbuka maisha yake ya zamani, Pasta Daniel...

Jinsi himaya ya ulanguzi wa bangi ilivyosambaratishwa akasukumwa jela miaka 10

NA KALUME KAZUNGU KWA zaidi ya miaka sita, Lucas Opondo Muguna, 45, amekuwa akiendesha biashara yake ya ulanguzi wa dawa za kulevya...

Vijana waliotaabika bila kazi walivyojijengea viota vya ajira kutoka kwa uyoga

NA LABAAN SHABAAN VIJANA waliotaabika bila kazi mjini Bomet wamepata afueni baada ya shamba la utafiti wa mimea kufanywa njia ya kutega...