• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Polisi wa kiume waonywa dhidi ya kufugwa na wahudumu wa biashara ya mahaba

NA MWANGI MUIRURI  KAMANDA wa Polisi eneo la Mwea, Chrispinus Omongini ameonya maafisa wake wa kiume dhidi ya kufugwa na wahudumu wa...

Wahudumu wa biashara ya ngono Mlima Kenya wakosoa Gachagua kwa kufunga baa  

NA MWANGI MUIRURI  WAHUDUMU wa biashara ya mahaba kutoka Mlima Kenya wikendi walimkosoa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua, wakimtaja kama...

LuLu Hassan akiri kuangukia mume wa kishua, Rashid Abdallah  

NA SINDA MATIKO NI zaidi ya miaka 15 tangu watangazaji maarufu wa runinga Rashid Abdallah na Lulu Hassan walipootesha penzi lao Mombasa...

OCS aomba kupewa kichwa cha mshale uliomdunga kukihifadhi  

NA MWANGI MUIRURI  KAMANDA wa Polisi Kituo cha Juja, OCS, John Misoi aliyedungwa kwa mshale wakati akiongoza maafisa wake kuendesha...

Mji ambao ni ngome ya vijana wenye nywele chafu za rasta

NA MWANGI MUIRURI KWA wageni ambao wameshawahi kutembelea mji wa Mukuyu, ulioko viungani mwa Mji wa Murang’a watakiri kwamba vijana...

Siku ambayo Gachagua aliandaa mkutano wa kisiasa nje ya hospitali 

NA MWANGI MUIRURI  WENGI bado hawajatokwa na ‘picha’ waliyochora akilini mnamo Aprili 2, 2024 Naibu wa Rais Rigathi Gachagua...

Watu 8 wakamatwa wakiuziwa pombe ndani ya choo Murang’a

NA MWANGI MUIRURI  WATU wanane waliokuwa wakisherehekea pombe wakiwa kwenye choo katika Mji wa Kenol, Murang'a kabla ya saa za baa...

Amejiokoa au kujimaliza? Sababu zitakazomfanya Mwangaza kuwa UDA kwa jina tu

Na CHARLES WASONGA TANGAZO la Gavana wa Meru Kawira Mwangaza kwamba amejiunga na chama cha United Democratic Alliance (UDA) limefasiriwa...

Hapa kupunjwa tu: Wakulima wanavyolazimishwa kurefusha magunia ya viazi

NA LABAAN SHABAAN KILIMO Biashara cha viazi kimenoga Kaunti ya Narok hasa eneo la Olorropil sehemu za kaskazini ya kaunti. Katika...

Samidoh: Hizi drama zangu nazipenda sana, zinanipa hamu ya kuishi

Na SINDA MATIKO STAA wa mugithi, Samuel Muchoki, almaarufu Samidoh anasema anayahusudu maisha anayoishi pamoja na drama zote za wanawake...

Kiki ya mcheshi KK Mwenyewe ya kula pilipili yaishia kukimbizwa hospitalini

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Zachariah Kariuki almaarufu KK Mwenyewe ameruhusiwa kwenda nyumbani baada ya kutafuta tiba katika hospitali...

Umuhimu wa watoto wadogo kupata usingizi wa kutosha

NA MWANDISHI WETU WAKATI pacha wake James Mwema (aliomba jina libadilishwe) walikuwa wanazaliwa, ilikuwa siku njema maishani mwake. Hata...