• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Milima ya mchanga mweupe Shella Beach yageuzwa uwanja wa malavidavi

NA KALUME KAZUNGU MIINUKO ya mchanga mweupe eneo la Shella kisiwani Lamu miaka ya hivi karibuni imegeuzwa kuwa chemichemi ya malavidavi...

Tunda lisilo na mvuto ingawa linaaminika kutibu kisukari, hata saratani

NA PETER CHANGTOEK BAADHI ya watu hawapendi kula matunda ya kiwano kwa sababu ya ladha yake. Linapokuwa bichi, tunda hilo huwa na ladha...

MWANAMIPASHO: Jirani pale Tanzania anatamba, amezindua tuzo kali za muziki, sisi huku?

NA MWANAMIPASHO OYA Bwana! Hivi umesikia mikakati ambayo kamati andalizi ya tuzo za Tanzania Music Awards (TMA) 2024 zitakazotolewa Juni...

Wanachuo wajitetea kuchukua Sh180 badala ya karamu ya Sh1m kutoka kwa zawadi ya Rais

MARGARET KIMATHI na CHARLES WASONGA MNAMO Jumanne Aprili 9, 2024, Wakenya walitumia majukwaa mbalimbali mitandaoni kuhoji Sh180...

TAARIFA YA KIPEKEE: Mimi sitoki jamii ya Abagusii, msanii Getumbe aweka wazi

NA FRIDAH OKACHI MSANII wa Injili William Getumbe Mutua almarufu ‘Yesu Ninyandue’, amekanusha kutoka jamii ya Abagusii. Bw...

Mahangaiko: Wakazi wanavyong’ang’ania maji machafu na fisi kwenye bwawa

NA FRIDAH OKACHI WAKAZI wa wadi ya Heilu, Kaunti ndogo ya Moyale wanang’ang’ania maji na fisi kwenye bwawa la maji, wakihofia...

Jinsi niliponyoka mauti mikononi mwa kakangu wa kambo aliyeua mpenzi wangu

RUSHDIE OUDIA na CHARLES WASONGA AKILALA kwenye sakafu baridi ya nyumba yake, ya vyumba viwili vya kulala katika mtaa wa Migosi, Kisumu,...

Tabasamu tele wakazi wakifaulu kupiga simu kwa mara ya kwanza bila kupanda juu ya mti

NA OSCAR KAKAI AKIWA ameketi kwenye shina ya mti pamoja na marafiki zake wengine ndani kwenye msitu katika kijiji cha Akiriamet, wadi ya...

Uchanganuzi: Ujio wa Djibouti unaweza kuharibia Raila hesabu za kushinda kiti AUC

Na CHARLES WASONGA HATUA ya Djibouti kudhamini mgombeaji uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) imeongeza kiunzi kingine kwa...

Babu Owino: Ruto anavalia saa ya Sh10 milioni, aiuze alipe madaktari

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Embakasi Mashariki, Paul Ongili Owino, almaarufu Babu Owino, anadai kwamba Rais William Ruto anamiliki saa...

Wanasiasa serikalini wanaomiliki baa wanavyotishia polisi    

NA MWANGI MUIRURI MAAFISA wa polisi eneo la Mlima Kenya sasa wanaitaka serikali kutoa marufuku ya kumiliki baa dhidi ya wanasiasa walio...

Maadhimisho ya Idd-Ul-Fitr

NA SAMMY WAWERU JAMII ya Dini ya Kiislamu Jumatano, Aprili 10, 2024 walikongamana katika maeneo mbalimbali ya kuabudu kuadhimisha...