• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Atwoli aruhusu Fazul akague matumizi ya fedha za ‘masoja’

Na CHARLES WASONGA LENGO la kwanza la Muungano wa Vyama vya Wafanyakazi Nchini (COTU), kulingana na maelezo kwenye tovuti yake, ni kuinua...

MWANAMIPASHO: Sina chuki, ila hapa kwa TID mwanishangaza

NA MWANAMIPASHO ILA Wakenya huwa mnanishangaza sana. Yaani mtu akitrendi tu kwa vitu vya kipuzi, hao sisi tushaanza kuwashobokea kuwapa...

Upinzani umelala tangu Raila aanze kuwania kiti AU

NA LEONARD ONYANGO TANGU kiongozi wa Azimio la Umoja Raila Odinga atangaze azma yake ya kuwania uenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika...

Hivi huyu Raila ana nyota kweli, au kidagaa kitamuozea pia huko AUC?

NA DOUGLAS MUTUA USIINGIE baridi unapoona mataifa mengine yakijitokeza kumpinga Bw Raila Odinga, anayewania uenyekiti wa Tume ya Muungano...

Kuondoa upigaji msasa katika mchakato wa kutoa vitambulisho ni hatari

NA JURGEN NAMBEKA HATUA ya Rais William Ruto kutangaza kuondolewa kwa utaratibu wa kupiga msasa vijana wanaotafuta vitambulisho kuanzia...

Mbolea feki NCPB ni ithibati tosha walaghai wameteka nyara Kenya

Na LEONARD ONYANGO TANGU kuzuka kwa sakata ya uwepo we mbolea feki katika maghala ya Bodi ya Mazao na Nafaka (NCPB), viongozi wakuu...

Tamko la Rais litaua motisha wa madaktari hata wakirudi kazini

Na BENSON MATHEKA TAMKO la Rais William Ruto Jumapili iliyopita kwamba serikali haina pesa za kutimizia madaktari wanaogoma wakitaka...

Hivi unajua urais mwingine wa Trump utakuwa na athari gani kwa Mwafrika?

NA DOUGLAS MUTUA HIVI aliyekuwa Rais wa Amerika, Donald Trump, akichaguliwa tena, atakuwa na athari gani kwa Mkenya au Mwafrika kwa...

Migomo ya madaktari na matabibu inayoendelea ni tishio kuu kwa nchi

Na BENSON MATHEKA MGOMO wa madaktari unaingia wiki ya tatu huku Wakenya wakiendelea kuteseka kwa kukosa huduma za matibabu katika...

MUSYOKI: Serikali ya Kenya Kwanza ionyeshe nia njema kwa sekta ya elimu nchini

NA MAXIM MUSYOKI SIKU tatu zilizopita, Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu wa Sekondari na Vyuo (Kuppet) Akelo Misori, alitishia kuongoza...

MUTUA: Serikali itukinge dhidi ya wadukuzi katika mitandao

NA DOUGLAS MUTUA MPENZI wa TikTok utafanyaje ukiamka asubuhi moja upate mtandao huo haupo tena, hivyo huwezi kurekodi video za nyimbo na...

MAONI: Benny Hinn aliacha nchi hoi badala ya kuiletea uponyaji

Na LEONARD ONYANGO MHUBIRI Toufik Benedictus Benny Hinn alikuwa gumzo humu nchini wikendi iliyopita alipoongoza mkutano mkubwa wa maombi...