NA MHARIRI TANGU Jumanne wiki hii, wabunge wanawake wamekuwa wakiendeleza uvaaji mavazi ya Kiafrika. Kupitia chama chao (KEWOPA), wabunge...
NA MHARIRI BW Odinga ni kiongozi mjanja anayejua kucheza karata zake kisiasa kwa weledi mkuu. Ila amefeli kujifunza kutokana na makosa ya...
NA WANDERI KAMAU KILA uchaguzi mkuu unapofanyika nchini, hakukosi kuwa na madai ya udukuzi wa mitambo ya watu wanaosimamia uchaguzi...
NA DOUGLAS MUTUA UKIKUTANA na Mbunge wa Kiharu, Bw Ndindi Nyoro, mkumbushe “wajinga ndio waliwao”. Uko radhi kuielekeza nasaha hiyo...
NA MHARIRI MNAMO Jumatano waziri wa Michezo Ababu Namwamba aliweka wazi azma ya serikali ya Kenya Kwanza kuinua spoti mashinani kwa...
NA KINYUA KING’ORI KIONGOZI wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga, awe makini zaidi wakati huu ikiwa anayo nia ya kuwania urais tena siku...
NA JURGEN NAMBEKA WIKI jana serikali ilitangaza kuwa ingeshirikiana na kampuni za kibinafsi kutekeleza mradi wa Sh300 bilioni wa...
NA MHARIRI RIPOTI kwamba wanafunzi zaidi ya 200,000 wamekosa kujiunga na Gredi 7 katika shule za Sekondari ya Msingi (JSS), inafaa kushtua...
MNAMO Desemba 16, 2022 Bunge la Kaunti ya Nairobi lilimtaka Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja kuwaondoa watoto wanaorandaranda barabarani...
NA CHARLES WASONGA TANGU walipongia mamlakani Septemba 13 mwaka jana, Rais William Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua wamekuwa...
NA CECIL ODONGO SENETA wa kwanza wa Homa Bay marehemu Otieno Kajwang’ aliwahi kutoa kauli maarufu, aliposema kuwa iwapo uaminifu wa...
NA MHARIRI HUKU Kenya ikiendelea kukabiliana na njaa kali na ukame uliokithiri, mjadala kuhusu jukumu la mabwawa makubwa katika kutatua...