• Nairobi
  • Last Updated September 26th, 2023 10:25 PM

TUSIJE TUKASAHAU: Sharti Ruto apate idhini ya Bunge kabla kutuma wanajeshi Kerio Valley

VIONGOZI wa kisiasa kutoka eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa wamemtaka Rais William Ruto kuwatuma wanajeshi wa Kenya (KDF) katika eneo la...

WANDERI KAMAU: CBC: Jopo litilie maanani kuwapunguzia wanafunzi mzigo wa masomo

NA WANDERI KAMAU KWENYE makala aliyoandika Jumamosi iliyopita katika gazeti moja, msomi na mchanganuzi Barrack Muluka alilalamika kuhusu...

DOUGLAS MUTUA: Waombeeni wasanii wa injili waziepuke kashfa na sakata

NA DOUGLAS MUTUA MARA nyingi Mtanzania mlokole anapofunga safari kuzuru Kenya hutahadharishwa kuwa kwa vyovyote vile aitunze imani yake...

TAHARIRI: Malipo mazuri kwa marefa ndiyo dawa ya usimamizi duni wa mechi

NA MHARIRI KATIKA kipindi cha siku 10 hivi zilizopita, suala kuu la uadilifu miongoni mwa marefa limejitokeza katika matukio yanayozidi...

CECIL ODONGO: Viongozi wa ODM walioenda Ikulu ni wasaliti, wanafiki na wanadharau Raila

NA CECIL ODONGO HATUA ya baadhi ya wabunge wa ODM kwenda Ikulu ni usaliti mkubwa na dharau kwa kiongozi wa chama chao, Bw Raila...

WANDERI KAMAU: Licha ya misukosuko Afrika ni bara lenye baraka tele!

NA WANDERI KAMAU AFRIKA imebarikiwa. Kwa muda mrefu, Afrika imekuwa mfano wa bara lililotengwa duniani. Bara la mateso, mahangaiko,...

TAHARIRI: Sekta kuu za kilimo zifufuliwe

NA MHARIRI MANIFESTO ya muungano wa Kenya Kwanza wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita ilivutia Wakenya wengi hasa kutokana na...

JURGEN NAMBEKA: Serikali iongeze jitihada kuzima mizozo ya watu na wanyamapori Tsavo

NA JURGEN NAMBEKA KWA muda mrefu Wakenya wanaoishi karibu na mbuga za wanyamapori zilizoko Pwani, wamelalamikia uvamizi wa wanyama hao...

TAHARIRI: Idara za serikali ziwe zinatenga malipo kabla ya kutoa kandarasi

NA MHARIRI MAMIA ya watu waliotoa huduma kwa taasisi za serikali wanaendelea kuhangaika. Biashara zao zimeathirika. Wengi wamekuwa wa...

KINYUA KING’ORI: Wanaosababishia taifa hasara kwa miradi iliyokwama wachukuliwe hatua kali

NA KINYUA KING’ORI INASIKITISHA kuwa hata baada ya serikali kuendelea kutenga fedha kwa miradi nchini Wakenya bado hawajanufaika nayo...

TUSIJE TUKASAHAU: Wakenya 8.8 milioni walemewa kulipa ada za michango yao NHIF

JUMLA ya Wakenya 8.8 milioni wamelemewa kulipa michango yao ya kila mwezi kwa Bima ya Kitaifa ya Afya (NHIF) kufikia Januari 2023,...

CECIL ODONGO: Mwelekeo anaochukua Rais Ruto mwishowe utamponza mwenyewe

NA CECIL ODONGO MATUKIO yanayoendelea kisiasa nchini sio mazuri kwa utangamano wa taifa. Mnamo Jumapili, nilisikiliza hotuba ya kiongozi...