• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 5:07 PM

WANDERI KAMAU: Je, kauli tata ya Seneta Cheruiyot ni sera mpya ya serikali ya Kenya Kwanza?

NA WANDERI KAMAU KATIKA mpangilio wa kiutawala uliopo nchini kwa sasa, Kiongozi wa Wengi katika Seneti ni mtu mwenye ushawishi sana....

CECIL ODONGO: Cheche za Malala zitabomoa UDA na kufifisha umaarufu

NA CECIL ODONGO KATIBU Mkuu wa chama cha United Democratic Alliance (UDA), Cleophas Malala, anaonekana kulewa mamlaka kiasi cha kutoa...

TAHARIRI: Matamshi haya ya ‘kiwazimu’ sharti yazimwe

NA MHARIRI KATIKA demokrasia nyingi zinazostawi, wanasiasa wanaojiona kuwa karibu na utawala hujisahau na kupita mipaka yao. Hujiona...

WANDERI KAMAU: Sauti za jamii ndogo zianze kusikika katika uongozi

NA WANDERI KAMAU JE, ni lini tutazikumbuka jamii ndogo nchini? Ni lini watu wachache watapata usemi wao katika jamii? Ni lini mchango...

TAHARIRI: Rais Ruto na naibu wake wahudumie raia, si kulaumu Raila kila saa

NA MHARIRI KATIKA mikutano yao tangu waingie Ikulu, Rais Ruto na naibu wake Gachagua wamekosa kutilia manani changamoto zinazokabili...

TAHARIRI: Usimamizi wa raga ulainishwe ili kuinua ubora

NA MHARIRI TIMU ya raga ya wachezaji saba kila upande almaarufu Kenya Shujaa imehangaika kwenye Raga za Dunia za msimu...

WANDERI KAMAU: Nigeria ni mfano bora kuwa mtu mui hatimaye huwa mwema

NA WANDERI KAMAU MTU anapofanya vizuri ikilinganishwa na vitendo vyake vya awali, anafaa kupongezwa kwa kuimarisha vitendo ama mwelekeo...

DOUGLAS MUTUA: Kweli Kenya imehalalisha ushoga au ni hisia kali tu?

NA DOUGLAS MUTUA HIVI haramu imehalalishwa, yaani ushoga ukaidhinishwa kisheria nchini Kenya? Hii ninayosikia ni mihemko ya kawaida tu...

CECIL ODONGO: Mali ya umma isitumiwe kufadhili afisi zisizotambulika rasmi kikatiba

NA CECIL ODONGO AFISI za wake wa Naibu Rais Rigathi Gachagua na Kinara wa Mawaziri Musalia Mudavadi, zifutiliwe mbali. Wiki jana, Bw...

WANDERI KAMAU: Wito kwa Rais William Ruto; waondoe mawaziri wazembe!

NA WANDERI KAMAU KUNA ukimya mkuu uliotanda kila sehemu nchini. Ukimya mkubwa! Ukimya ambao unaifanya vigumu kuamini ikiwa kuna serikali...

TAHARIRI: Ucheleweshaji wa malipo ya wakandarasi ukomeshwe

NA MHARIRI INASIKITISHA kuwa baadhi ya Wakenya waliosambazia serikali bidhaa au kutoa huduma wamekufa kutokana na hasa tatizo la kimawazo...

JURGEN NAMBEKA: Vijana wa Pwani wajifunze kuhusu utaalamu wa gesi

NA JURGEN NAMBEKA RAIS William Ruto alizuru Pwani kuzindua ujenzi wa kiwanda cha gesi aina ya LPG katika eneo la Dongo Kundu. Wakati wa...