• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

TAHARIRI: FKF ichunguze malalamiko yanayoibuliwa kuhusu marefa viwanjani

NA MHARIRI WAKATI huu msimu wa soka nchini unaelekea kumalizika, itakuwa vyema iwapo waamuzi wa mechi hizo watatekeleza wajibu wao bila...

DOUGLAS MUTUA: Waafrika watafute mbinu za kusuluhisha matatizo yao

NA DOUGLAS MUTUA HIVI Waafrika wana nia ya kusuluhisha matatizo yao kivyao, bila kuwahusisha wageni, au wao ni ‘domo-kaya’ tu?...

CECIL ODONGO: Raila aingilie kati na kuzima uhasama kati ya Orengo na naibu wake

NA CECIL ODONGO KAUNTI ya Siaya ni miongoni mwa majimbo ambayo yanaheshimika nchini kutokana na kuwa chimbuko la viongozi mahiri ambao...

KINYUA KING’ORI: Serikali ikome kuongeza ushuru mpya kwa raia wanaoumia tayari

NA KINYUA KING'ORI RAIS William Ruto na viongozi wengine katika serikali ya Kenya Kwanza inaonekana wamesahau Wakenya waliwachagua...

CHARLES WASONGA: Serikali iandame wanaokwepa ushuru badala ya kulemaza raia na mzigo zaidi

NA CHARLES WASONGA KUNA msemo wa kale kwamba kuna vitu viwili pekee ambavyo ni lazima maishani: kifo na ushuru. Japo ushuru ni...

TAHARIRI: Mchango wa Ingwe ni muhimu katika soka

NA MHARIRI SHIRIKISHO la Soka Nchini (FKF) limejifunza mengi siku chache tu baada ya kuwapiga marufuku mashabiki wa klabu ya AFC...

DOUGLAS MUTUA: Uhusiano wa Urusi na Afrika utawaramba Waafrika

NA DOUGLAS MUTUA LAITI pangalikuwapo na mfumo mbadala wa siasa ambapo wananchi wanajiwakilisha moja kwa moja bila kuwachagua...

TAHARIRI: Wahalifu wote wa mauaji ya Shakahola wafichuliwe bila kusazwa

NA MHARIRI MNAMO Jumanne, Mhubiri Paul Mackenzie alifikishwa kwenye mahakama ya Malindi na kusomewa mashtaka upya kabla ya kurejeshwa...

CHARLES WASONGA: Serikali ifanikishe azma ya afya kwa wote ili raia wanufaike kimaendeleo

NA CHARLES WASONGA MNAMO Septemba 2020, mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa (UN) yalipitisha muafaka kuhusu Mpango wa Afya kwa Wote...

TAHARIRI: Uchunguzi wa Shakahola usivurugwe kivyovyote

NA MHARIRI UCHUNGUZI kuhusu vifo vya watu zaidi ya 100 katika kijiji cha Shakahola, Kaunti ya Kilifi, umeingia katika awamu muhimu ya...

DOUGLAS MUTUA: Suluhu ya kudumu Sudan itatoka Afrika si kwingine

NA DOUGLAS MUTUA HIVI Mwafrika atawahi kufahamu kwamba yeye mwenyewe ndiye aliye na suluhu za masaibu yanayomsibu, au ataendelea kununua...

TAHARIRI: Nguzo kuu ya dini ni utu bali si maisha ya baada ya kifo

NA MHARIRI KWA sasa Kenya inaendelea kushtushwa na matukio ya vifo yanayoripotiwa katika dhehebu la Good News International, kijijini...