• Nairobi
  • Last Updated October 2nd, 2023 10:18 AM

WANDERI KAMAU: Gachagua asiwe na kinyongo, wanahabari si maadui wa jamii

NA WANDERI KAMAU UANAHABARI ni taaluma ambayo ina historia ndefu. Ni taaluma iliyoanzia katika mwaka 59BCE (Kabla ya Kuzaliwa Masihi Yesu...

WANDERI KAMAU: Serikali ya Ruto ikome kutumia idara za usalama kuwanyamazisha wapinzani

NA WANDERI KAMAU WAKATI wa harakati wa kupigania Ukombozi wa Pili katika miaka ya 1990, mawakili ni kati ya watu waliohusika katika...

DOUGLAS MUTUA: Maadili yataamua ufanisi au kuporomoka kwa Nigeria

NA DOUGLAS MUTUA TAIFA la Nigeria linapiga chafya leo, tahadhari usipate mafua! Hivi uchaguzi wa urais unaofanyika leo nchini humo...

TAHARIRI: SJAK iwe mfano bora kuongoza uchaguzi huru, wa uwazi na haki

NA MHARIRI MUUNGANO wa Wanahabari wa Michezo nchini (SJAK), umepanga kufanya uchaguzi wake Machi 4, 2023 ambapo maafisa wapya watateuliwa...

TAHARIRI: Ni aibu Ukraine kuipa Kenya msaada wa mlo

NA MHARIRI NI jambo la fedheha kuwa Ukraine, nchi iliyozama katika vita vikali kwa mwaka mmoja uliopita, ni miongoni mwa nchi zinazoipa...

JURGEN NAMBEKA: Kaunti zisiwafedheheshe wazazi wanaosaka basari

NA JURGEN NAMBEKA WAZAZI katika kanda ya Pwani wamelalamikia jinsi shughuli ya kutolewa kwa basari za kufadhili masomo ya wanawao...

TAHARIRI: Wabunge wa kike waangazie shida za jamii zilizo na dharura si vitenge kwa sasa

NA MHARIRI TANGU Jumanne wiki hii, wabunge wanawake wamekuwa wakiendeleza uvaaji mavazi ya Kiafrika. Kupitia chama chao (KEWOPA), wabunge...

TAHARIRI: Raila ajifunze kudumisha washirika wake kisiasa

NA MHARIRI BW Odinga ni kiongozi mjanja anayejua kucheza karata zake kisiasa kwa weledi mkuu. Ila amefeli kujifunza kutokana na makosa ya...

WANDERI KAMAU: Kenya sasa ilenge kuboresha mitambo kuondoa hofu ya udukuzi uchaguzini

NA WANDERI KAMAU KILA uchaguzi mkuu unapofanyika nchini, hakukosi kuwa na madai ya udukuzi wa mitambo ya watu wanaosimamia uchaguzi...

DOUGLAS MUTUA: Wanasiasa wa Mlima Kenya watumie akili au waangamizwe

NA DOUGLAS MUTUA UKIKUTANA na Mbunge wa Kiharu, Bw Ndindi Nyoro, mkumbushe “wajinga ndio waliwao”. Uko radhi kuielekeza nasaha hiyo...

TAHARIRI: Mradi wa Talanta Hela usiwe maneno tu, utekelezwe

NA MHARIRI MNAMO Jumatano waziri wa Michezo Ababu Namwamba aliweka wazi azma ya serikali ya Kenya Kwanza kuinua spoti mashinani kwa...

KINYUA KING’ORI: Raila apuuze usaliti wa wabunge waasi, awasamehe badala ya kuwafukuza chamani

NA KINYUA KING’ORI KIONGOZI wa chama cha ODM, Bw Raila Odinga, awe makini zaidi wakati huu ikiwa anayo nia ya kuwania urais tena siku...