• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Serikali ichunguze ‘shule bandia’ zinazodaiwa kuwafundisha wageni lugha

KATIKA kipindi cha miezi kadhaa sasa, kumezuka madai kuwa kuna shule ambazo hazijasajiliwa katika kaunti ya Nairobi zinazowafunza wageni...

WANDERI KAMAU: Kenya itangaze msimamo thabiti kuhusu mashoga

NA WANDERI KAMAU DUNIA inapoendelea kushuhudia mabadiliko mengi, hasa katika masuala ya kitamaduni, baadhi ya mabadiliko hayo ibuka...

TAHARIRI: Naibu Rais awafichue wafisadi wote

NA MHARIRI UFISADI umekuwa maradhi yanayosababisha uchumi na ustawi wa taifa letu kuendelea kudidimia, kiasi cha viongozi kufeli...

DOUGLAS MUTUA: Mwafrika awe suluhisho la ubaguzi wa rangi duniani

NA DOUGLAS MUTUA UBAGUZI uliojikita katika rangi ya watu haujawa na manufaa yoyote kote duniani, lakini mwanadamu na upumbavu wake haishi...

CHARLES WASONGA: Uchunguzi wa seneti kuhusu bei ya umeme haufai, Ruto ndiye mwenye suluhu

NA CHARLES WASONGA MNAMO Jumatano wiki hii, Bunge la Seneti lilianza kuchunguza zabuni tata ambazo zilitiwa saini na kampuni za kibinafsi...

TAHARIRI: Raila asahau yaliyopita, Ruto asitumie mabavu naye

NA MHARIRI KWA muda sasa, kinara wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga amekuwa akitishia kuisukuma serikali ya Rais William Ruto...

KINYUA KING’ORI: Ufisadi: Gachagua afanye kweli na ataje waporaji wote wa mali ya umma

NA KINYUA KING’ORI KENYA ni taifa lenye utajiri na uwezo mkubwa kiuchumi, licha ya wananchi kuonekana kulemewa na hali ngumu ya...

JURGEN NAMBEKA: Magavana waipe kipaumbele miradi muhimu iliyokwama

NA JURGEN NAMBEKA WAKAZI wa kisiwa cha Dongo Kundu katika Kaunti ya Kilifi hivi majuzi walijitokeza kulalamikia kutokamilishwa kwa daraja...

TAHARIRI: Matamshi ya Msimamizi wa Bajeti hayakufaa

NA MHARIRI KAULI ya Msimamizi wa Bajeti bungeni kwamba alilazimishwa kuruhusu matumizi ya Sh15 bilioni na utawala wa rais mstaafu Uhuru...

WANDERI KAMAU: Je, kauli tata ya Seneta Cheruiyot ni sera mpya ya serikali ya Kenya Kwanza?

NA WANDERI KAMAU KATIKA mpangilio wa kiutawala uliopo nchini kwa sasa, Kiongozi wa Wengi katika Seneti ni mtu mwenye ushawishi sana....

CECIL ODONGO: Cheche za Malala zitabomoa UDA na kufifisha umaarufu

NA CECIL ODONGO KATIBU Mkuu wa chama cha United Democratic Alliance (UDA), Cleophas Malala, anaonekana kulewa mamlaka kiasi cha kutoa...

TAHARIRI: Matamshi haya ya ‘kiwazimu’ sharti yazimwe

NA MHARIRI KATIKA demokrasia nyingi zinazostawi, wanasiasa wanaojiona kuwa karibu na utawala hujisahau na kupita mipaka yao. Hujiona...