NA CECIL ODONGO KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga anapasa kukoma kuwachezea shere wafuasi wake kila mara kwa kuchukua mkondo wa...
NA MHARIRI INASIKITISHA kuwa tangu Desemba 2022, serikali ya Kenya Kwanza haijatuma mgao wa kaunti kwa magatuzi hayo. Hali hiyo...
NA MHARIRI HATUA ya Rais William Ruto na kinara wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila Odinga, kulegeza misimamo yao ilikuja...
NA MHARIRI HATUA ya vigogo serikalini kuelekezea ghadhabu zao wanahabari na vyombo vya habari katika juhudi za kuzima maandamano...
NA MHARIRI TUKIO la mnamo Jumatatu ambapo wahuni, walioonekana kufadhiliwa na mahasimu wa kisiasa wa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na...
NA MHARIRI VITA dhidi ya uhuru wa vyombo vya habari Kenya sasa vinaonekana kuanza kuchukua mkondo hatari zaidi. Tangu serikali ya Kenya...
NA MHARIRI HATUA ya serikali kupokonya leseni mashirika 26 ambayo yamekuwa yakisafirisha Wakenya ughaibuni kwenda kusaka ajira, ni habari...
NA WANDERI KAMAU WAKATI matatizo yanapomzidia mwanadamu, ni bora kumtafuta mtu, watu ama taasisi yenye uwezo wa kutatua changamoto...
NA DOUGLAS MUTUA KUNA msemo wa Kiingereza usemao kwamba hata saa iliyoharibika huwa sahihi angaa mara mbili kwa siku. Imedhihirika kwamba...
NA MHARIRI MUUNGANO wa Azimio la Umoja One Kenya, jana Jumatatu ulitimiza mpango wake wa maandamano katika miji mbalimbali...
NA MHARIRI MAANDAMANO ya Upinzani yanayotarajiwa kufanyika leo katika baadhi ya maeneo nchini, yameibua hisia mseto – yameungwa mkono na...
NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto alichaguliwa na Wakenya wengi kwa ahadi ya kuwatetea watu wa kiwango cha chini, yaani mahasla. Ahadi...