• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 11:05 AM

CECIL ODONGO: Raila hana lake kwenye vikao vya maridhiano na Rais Ruto

NA CECIL ODONGO KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga anapasa kukoma kuwachezea shere wafuasi wake kila mara kwa kuchukua mkondo wa...

TAHARIRI: Hujuma hii kwa ugatuzi hakika haifai

NA MHARIRI INASIKITISHA kuwa tangu Desemba 2022, serikali ya Kenya Kwanza haijatuma mgao wa kaunti kwa magatuzi hayo. Hali hiyo...

TAHARIRI: Mazungumzo yaweke maslahi ya raia mbele

NA MHARIRI HATUA ya Rais William Ruto na kinara wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila Odinga, kulegeza misimamo yao ilikuja...

TAHARIRI: Serikali ‘isinyonge’ wanahabari

NA MHARIRI HATUA ya vigogo serikalini kuelekezea ghadhabu zao wanahabari na vyombo vya habari katika juhudi za kuzima maandamano...

TAHARIRI: Ni fedheha wanasiasa kufadhili wahuni

NA MHARIRI TUKIO la mnamo Jumatatu ambapo wahuni, walioonekana kufadhiliwa na mahasimu wa kisiasa wa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na...

TAHARIRI: Wanasiasa wasichochee umma dhidi ya wanahabari

NA MHARIRI VITA dhidi ya uhuru wa vyombo vya habari Kenya sasa vinaonekana kuanza kuchukua mkondo hatari zaidi. Tangu serikali ya Kenya...

TAHARIRI: Serikali ifichue mashirika yaliyopigwa marufuku kupeleka Wakenya ughaibuni kusaka ajira

NA MHARIRI HATUA ya serikali kupokonya leseni mashirika 26 ambayo yamekuwa yakisafirisha Wakenya ughaibuni kwenda kusaka ajira, ni habari...

WANDERI KAMAU: Rais amjaribu Nelson Marwa kukabili majangili Bondeni

NA WANDERI KAMAU WAKATI matatizo yanapomzidia mwanadamu, ni bora kumtafuta mtu, watu ama taasisi yenye uwezo wa kutatua changamoto...

DOUGLAS MUTUA: Putin ni papa nayo ICC dagaa?

NA DOUGLAS MUTUA KUNA msemo wa Kiingereza usemao kwamba hata saa iliyoharibika huwa sahihi angaa mara mbili kwa siku. Imedhihirika kwamba...

TAHARIRI: Viongozi wa siasa waache misimamo yao mikali

NA MHARIRI MUUNGANO wa Azimio la Umoja One Kenya, jana Jumatatu ulitimiza mpango wake wa maandamano katika miji mbalimbali...

TAHARIRI: Maandamano: Sheria ifuatwe

NA MHARIRI MAANDAMANO ya Upinzani yanayotarajiwa kufanyika leo katika baadhi ya maeneo nchini, yameibua hisia mseto – yameungwa mkono na...

WANDERI KAMAU: Kwa kuwatoza ‘mama-mboga na boda’ ada mpya, Ruto amewasaliti mahasla

NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto alichaguliwa na Wakenya wengi kwa ahadi ya kuwatetea watu wa kiwango cha chini, yaani mahasla. Ahadi...