MKUSANYIKO wa mashairi Jumamosi, Aprili 6, 2019. Kila heri wenzangu Elimu ndiyo maisha, kwetu sisi wanadamu,Elimu huburudisha, akikufunza...
Wadigo Mnani? Bismi natanguliza, sijambo la kulipuza, Walasitaki likuza, wenzetu watushangaza, Wazidi kutuchukiza, kila uchao...
KWANZA mawasiliano, kasi yake hupunguwa, Hayawi masemezano, ja mwanzo yalivyokuwa, Hata soga na vigano, hukoma pasi kujuwa, Penzi lianzapo...
Na MKUSANYAJI WA MASHAIRI HAYA ni mashairi ambayo yamechapishwa kwenye gazeti la Taifa Leo toleo la Jumamosi, Machi 2,...
Na DOTTO RANGIMOTO YA Rabi kutoka kapa, mjawo ninaogopa,Kazi nitakazochapa, waja wasije zikopa,Kisha zisikome hapa, zifike hadi...
Na FELIX GATUMO NAAMUA kwa hiari, kutoasi ukapera, Mahaba kwangu kwaheri, sitaki tena hasara, Akili yameathiri, yamenifyonza...
Na KULEI SEREM Nimetingwa na huzuni, nimepokea habari, Inanichoma moyoni, kama moto msumari, Shujaa wetu jamani, ametuaga kwaheri, Ni...
Na KULEI SEREM Gazeti la Kiswahili, halina mapendeleo, Nazungumzia lili, hili la TAIFA LEO, Gazeti lenye ukweli, wa habari...
Na KULEI SEREM Koti langu ninavua, ili nipate kunena, Mwili wangu unaloa, japo mie sijanona, Ulimi wanichochea, nina neno kwa...
Na IZIRARE HAMADI Uumbile lilo hariri, mola katuumbia, Liwe shari au heri, adinasi jijazia, Mapambo yake kahari, sote twayaajabia, Kama...
As storm season intensifies, the paths of former storm...
Sparks fly in all directions as marketing maven Kelly...
Gru and Lucy and their girls â Margo, Edith and Agnes...