• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 8:55 PM

Arsenal yapata afueni ratiba ya EPL ikigeuzwa

LONDON, Uingereza Mechi kadhaa za Ligi Kuu ya Uingereza zimesukumwa mbele siku moja zikiwemo za farasi watatu Arsenal, Liverpool na...

Ulikuwa usiku wa sare sare katika robofainali za Uefa

LONDON, Uingereza Kocha Mikel Arteta amesema makosa madogo madogo kwenye ngome ndio yaliyosababisha kikosi chake cha Arsenal kutoka sare...

Arsenal waanza kunyanyaswa na miamba Bayern mechi ya Uefa

UPDATE: Mechi ilimalizika kwa sare ya 2-2 baada ya Arsenal kusawazisha kupitia mshambuliaji Leandro Trossard dakika ya 76 Na FATUMA...

Leteni hao majeruhi Bayern tuwape dozi, Arsenal sasa yajigamba

NA MASHIRIKA KIUNGO mshambuliaji Martin Ødegaard amesema Arsenal hawaogopi vigogo wa Ujerumani, Bayern Munich anayochezea straika matata...

Arteta ala mori, United na Liverpool zikisare

NA JOHN ASHIHUNDU KOCHA Mikel Arteta amesema wachezaji wake wanafanya kazi kwa bidii ya mchwa kuweka ulinzi mkali katika kila mechi, na...

Nipe nikupe: Arsenal warusha chini Man City na kurejea tena juu ya mti wakisubiri jibu la Liverpool

NA FATUMA BARIKI MIAMBA wa soka Arsenal wamerejea juu ya jedwali baada ya kupokeza Bighton mabao tatu kwa nunge katika mechi ya...

Arsenal inayomhemea beki Kimmich wa Bayern yaambiwa ‘tuongee baada ya kazi’

TETESI ZA MASTAA NA CECIL ODONGO MIAMBA wa Ujerumani (Bundesliga), Bayern Munich, wameambia Arsenal watulize boli kwanza hadi mwisho wa...

Kilio huko Man U wakipoteza mechi waliyokuwa wanashinda ndani ya dakika mbili

LONDON, Uingereza BRUNO Fernandes amelia kuwa Manchester United ililala ikizamishwa 4-3 na Chelsea hapo Alhamisi ugani Stamford Bridge...

Mambo ni unyo unyo ‘Ndovu’ Arsenal ikikanyaga Luton na kurejea juu ya mti

LONDON, Uingereza KOCHA Mikel Arteta amejaa furaha baada ya vijana wake kubwaga Luton Town 2-0 licha ya kuwa hakuna nafasi ya kupumua,...

Alan Shearer: Mtarajie mabadiliko juu ya jedwali la EPL Jumatano usiku

LONDON, Uingereza MWANASOKA mstaafu, Alan Shearer amesema ingawa Liverpool wako uongozini mwa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa pointi 67,...

Wachanganuzi washikilia ‘Ndovu’ Arsenal hawatabeba taji la EPL licha ya sare na Man City

MANCHESTER, UINGEREZA: ARSENAL wangali nyuma ya viongozi Liverpool na mabingwa watetezi Manchester City katika orodha ya timu zinazopigiwa...

Nusra Man City imuue Ndovu ikimshusha juu ya mti

NA MWANGI MUIRURI  ARSENAL iliponea chupuchupu katika kipute chake na Man City Jumapili jioni, Machi 31, 2024 huku timu zote mbili...