• Nairobi
  • Last Updated December 6th, 2023 9:00 PM

Mechi za CECAFA zaanza bila Kenya

NA JOHN ASHIHUNDU KENYA ni miongoni mwa mataifa ya CEACAFA yatakayokosa kushiriki katika michuano ya soka ya wasiozidi umri wa miaka...

Arsenal, Man United watolewa pumzi na kutupwa nje ya Carabao

LONDON, Uingereza Mashetani wekundu wa Manchester United walishuhudia masaibu yao yakiongezeka Jumatano baada ya kubanduliwa pamoja na...

Wanyonyi ndani ya tatu-bora akilenga taji la mwanariadha bora chipukizi duniani

NA GEOFFREY ANENE MKENYA Emmanuel Wanyonyi ametiwa katika orodha wawaniaji watatu bora chipukizi wa tuzo za Shirikisho la Riadha Duniani...

Hafla ya kunyoosha maungo yanoga Lamu

NA KALUME KAZUNGU HAFLA ya mwaka huu wa 2023 ya kunyoosha maungo almaarufu Yoga, ilinoga kisiwani Lamu washiriki wengi, wakiwemo...

Wachezaji 200 kuwania ubingwa wa KCB East Africa Golf Tour ugani Nyali

Na GEOFFREY ANENE WACHEZAJI zaidi ya 200 wameingia raundi ya 16 ya mashindano ya gofu ya kimataifa ya KCB East Africa Golf Tour...

Timu ya chesi ya NCBA kuwakilisha Kenya nchini Oman mashindano ya FIDE

NA TOTO AREGE TIMU ya chesi ya benki ya NCBA iliondoka nchini Jumatatu kuelekea Muscat, Oman kwa mashindano ya dunia ya chipukizi ya...

Ten Hag aning’inia pembamba Man United wakiyumba ligini

Na MASHIRIKA WANASOKA wa zamani wa Manchester United – Gary Neville na Roy Keane – wamesema miamba hao wana ulazima wa “kubadilisha...

Posta Rangers yaendelea kung’aa ikiicharaza Bandari 2 – 0

NA CECIL ODONGO POSTA Rangers jana, Jumamosi, Oktoba 28, 2023 iliipiga Bandari 2-0 kwenye mechi ya Ligi Kuu (KPL) katika uwanja wa...

Wanakriketi wa Nairobi kutuzwa kwa mara ya kwanza na NPCA tangu Covid-19

Na GEOFFREY ANENE WACHEZAJI wa zamani na wa sasa pamoja na timu zitatuzwa kwenye tamasha la Chama cha Kriketi cha eneo la Nairobi (NPCA)...

Gaspo Women walenga kuharibu mwanzo mzuri wa Vihiga Queens

NA TOTO AREGE MABINGWA watetezi Vihiga Queens wana nafasi kubwa ya kuendeleza rekodi yao ya kutopoteza mechi msimu huu, wanapojiandaa...

Nike yamjengea Kipchoge sanamu ya shaba Amerika

NA LABAAN SHABAAN KAMPUNI ya kimataifa ya viatu vya kispoti Nike imemtunuku heshima ya kipekee mwanariadha mashuhuri wa mbio za masafa...

Mbio za Standard Chartered Nairobi Marathon zavutia washiriki 22,000

Na AYUMBA AYODI WASHIRIKI zaidi ya 22,000 wamejiandikisha kutimka katika makala ya 20 ya mbio za Standard Chartered Nairobi Marathon...