• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 1:15 PM

AFC Leopards yaandaa bonge la sherehe ya ‘Ingwe@60’

Na JOHN ASHIHUNDU MAANDALIZI ya kuadhimisha miaka 60 tangu kuasisiwa kwa klabu ya AFC Leopards almaarufu 'Ingwe' yanazidi kunoga huku...

Kipruto alivyomtoa jasho Kipchoge katika Tokyo Marathon

Na GEOFFREY ANENE BENSON Kipruto aliendeleza rekodi nzuri dhidi ya Mkenya mwenzake Eliud Kipchoge hadi marathon tatu baada ya kutawala...

Wanabunduki roho juu wakiendea ‘mboga’ EPL Jumatatu usiku

Na MASHIRIKA ARSENAL watashuka leo ugani Bramall Lane wakipigiwa upatu wa kukomoa Sheffield United na kuendeleza presha kwa Liverpool na...

Dawa kusisimua misuli zamweka mwanariadha pembeni  

NA GEOFFREY ANENE BINGWA wa Prague Marathon mwaka 2022 Nobert Kigen amesimamishwa kushiriki shughuli zozote za riadha hadi kesi...

Kipruto azima Kipchoge na kuvunja rekodi mbio za Tokyo Marathon

NA GEOFFREY ANENE BENSON Kipruto amelambisha sakafu Eliud Kipchoge akitawala mbio za Tokyo Marathon nchini Japan, Jumapili, Machi 3,...

Kenya yachagua kikosi cha kuteka dunia mbio za nyika

Na GEOFFREY ANENE MABINGWA mara 23 wa dunia Kenya wamechagua kikosi cha kudondosha mate kwa makala ya 45 ya Mbio za Nyika za Dunia...

Pufya: Kando na Pogba, wafahamu wanasoka waliowahi kufungiwa nje

Na WANDERI KAMAU KUPIGWA marufuku kwa mwanasoka Paul Pogba wa klabu ya Juventus inayoshiriki Ligi Kuu ya Serie A nchini Italia, kumeibua...

Ishara ya ‘ngono’ uwanjani yamletea noma Ronaldo nchini Saudi Arabia

CHRIS ADUNGO NA MASHIRIKA SUPASTAA Cristiano Ronaldo amepigwa marufuku na kutozwa faini kwa kufanya kitendo kinachodaiwa kuwa cha...

Arsenal yaonyesha ukatili kwa kusukumia wapinzani magoli 25 tangu mwaka uanze

NA MASHIRIKA ARSENAL waliweka wazi azma yao ya kutawazwa wafalme wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu baada ya kukomoa Newcastle...

Wajir All Stars, Wajir Queens mabingwa wa Safaricom Chapa Dimba Kaskazini Mashariki mwa Kenya

NA TOTO AREGE WAJIR All Stars ndio mabingwa wa Safaricom Chapa Dimba Kanda la Kaskazini Mashariki mwa Kenya, baada ya kuinyoa Lyon 04 FC...

Kenya yapoteza mwanariadha mwingine, Charles Kipsang

NA LABAAN SHABAAN KENYA imefiwa na mwanariadha mwingine, Charles Kipsang Kipkorir, majuma mawili baada ya kifo cha mshikilizi wa rekodi...

Arsenal, Man City katika presha ya kujaza pengo lililofunguliwa na Liverpool

LONDON, UINGEREZA MANCHESTER City na Arsenal watakuwa mawindoni kupunguza presha ya kuachwa na Liverpool kwenye Ligi Kuu (EPL)...