• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 10:55 AM

KWPL: Bullets yanyoa Ulinzi bila maji, Kibera ikinyeshea Nakuru

Na TOTO AREGE KENYA Police Bullets waliendelea kutawala Ligi Kuu ya Wanawake nchini (KWPL) baada ya kuwanyoa bila maji Ulinzi Starlets kwa...

Ndovu Arsenal juu ya mti tena

NA MWANGI MUIRURI MASTAA Declan Rice na Kai Havertz walifunga mabao muhimu katika dakika za 19 na 86 mtawalia kupiga Brentford 2-1 na...

Arsenal yatandika Brentford 2-1 na kukaa juu ya jedwali

NA MASHIRIKA KLABU ya Arsenal imeipiga Brentford 2-1 ugani Emirates mnamo Jumamosi hivyo kuendeleza rekodi yake nzuri ya kugawa dozi...

Ndondi: Friza Anyango amkung’uta Chiroy Maria wa Guatemala

Na CHARLES ONGADI BONDIA Friza Anyango alimkung'uta Chiroy Maria wa Guatemala katika mashindano ya dunia kufuzu Michezo ya Olimpiki...

Askofu Yohana aitakia Arsenal ushindi dhidi ya Brentford

MWANGI MUIRURI Na MASHIRIKA ASKOFU Danson Gichuhi almaarufu Yohana ambaye amegonga vichwa vya vyombo vya habari kwa kukemea mapepo...

Ndondi: Nahodha wa Kenya apigwa ‘stop’ juhudi za kufuzu Olimpiki

Na CHARLES ONGADI MATUMAINI ya nahodha wa timu ya taifa ya ndondi kufuzu kushiriki Michezo ya Olimpiki itakayoandaliwa jijini Paris,...

Bondia Andiego apigwa breki safari ya Olimpiki

Na CHARLES ONGADI JUHUDI za bondia wa kike Elizabeth Andiego kufuzu kushiriki Michezo ya Olympiki zimepigwa breki kali baada ya...

AFC Leopards yaandaa bonge la sherehe ya ‘Ingwe@60’

Na JOHN ASHIHUNDU MAANDALIZI ya kuadhimisha miaka 60 tangu kuasisiwa kwa klabu ya AFC Leopards almaarufu 'Ingwe' yanazidi kunoga huku...

Kipruto alivyomtoa jasho Kipchoge katika Tokyo Marathon

Na GEOFFREY ANENE BENSON Kipruto aliendeleza rekodi nzuri dhidi ya Mkenya mwenzake Eliud Kipchoge hadi marathon tatu baada ya kutawala...

Wanabunduki roho juu wakiendea ‘mboga’ EPL Jumatatu usiku

Na MASHIRIKA ARSENAL watashuka leo ugani Bramall Lane wakipigiwa upatu wa kukomoa Sheffield United na kuendeleza presha kwa Liverpool na...

Dawa kusisimua misuli zamweka mwanariadha pembeni  

NA GEOFFREY ANENE BINGWA wa Prague Marathon mwaka 2022 Nobert Kigen amesimamishwa kushiriki shughuli zozote za riadha hadi kesi...

Kipruto azima Kipchoge na kuvunja rekodi mbio za Tokyo Marathon

NA GEOFFREY ANENE BENSON Kipruto amelambisha sakafu Eliud Kipchoge akitawala mbio za Tokyo Marathon nchini Japan, Jumapili, Machi 3,...