• Nairobi
  • Last Updated September 26th, 2023 10:25 PM

Re-Union FC ina kibarua kupanda ngazi muhula ujao

NA JOHN KIMWERE TIMU ya Re-Union FC inalenga kupambana kwa udi na uvumba kuhakikisha imenasa tiketi ya kufuzu kupandishwa ngazi...

Namwamba awatuza wanahabari kwenye hafla ya kufana

NA TOTO AREGE HISTORIA imewekwa Jumatano wakati Waziri wa Michezo Ababu Namwamba amewatuza wanahabari 195 wa michezo kwa mara ya kwanza...

Kocha wa Nakuru City Queens ajiuzulu

NA TOTO AREGE KOCHA mkuu wa Nakuru City Queens Chrispin Wesonga amejiuzulu baada ya kuiongoza klabu hiyo kwa msimu mmoja...

Kibera Girls na Soccer Assassins vitani kutafuta mshindi wa Divisheni ya Kwanza

NA TOTO AREGE KIBERA Girls Soccer watashuka dimbani Jumapili dhidi ya Soccer Assassins katika mechi ya kutafuta mshindi wa jumla wa Ligi...

JAGINA WA SPOTI: Alitikisa soka Harambee Starlets sasa ni katibu FKF Pwani

NA CHARLES ONGADI NI kati ya wachezaji waliong’ara sana katika timu ya taifa ya akina dada ‘Harambee Starlets’ miaka ya 90 kabla ya...

Macho kwa Japan, Uhispania Kombe la Dunia la Wanawake likiingia 16-bora

NA MASHIRIKA SYDNEY, Australia JAPAN na Uhispania wanapigiwa upatu kunyanyasa Norway na Uswisi kwenye Kombe la Dunia la Wanawake...

Nyati FC pabaya katika Ligi ya NERL

NA JOHN KIMWERE KOCHA  Michael Wanjohi  wa Nyati FC amesema wamejikuta pabaya kwenye kampeni za mechi za Zoni C Ligi ya Kanda ya...

Mane amfuata Ronaldo nchini Saudi Arabia

NA MASHIRIKA MUNICH, Ujerumani MSHAMBULIAJI Sadio Mane ameagana na klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani na kujiunga na Al Nassr ya...

Beldine ndiye kocha wa kike pekee KWPL

NA TOTO AREGE KOCHA wa timu ya Kenya Police Bullets FC Beldine Odemba, ndiye kocha mwanamke pekee ambaye ananoa timu ya wanawake katika...

Pinecrest Academy mabingwa wa karate kanda ya Mlima Kenya

NA LAWRENCE ONGARO SHULE ya Msingi ya Pinecrest Academy ya Juja ndio mabingwa wa Ligi ya Karate ya Shule za Kanda ya Mlima...

Refa Mary Njoroge kusimamia mchuano wa Argentina dhidi ya Uswidi

NA TOTO AREGE MWAMUZI wa mechi za Shirikiso la Soka Duniani (FIFA) Mary Njoroge, atakuwa mmoja wa marefa katika mechi ya Kundi G ya...

Kenya Police Bullets FC kutaja kikosi cha msimu mpya Ijumaa

NA TOTO AREGE KENYA Police Bullets FC mnamo Ijumaa itataja kikosi cha wachezaji 26 ambao watawakilisha timu hiyo katika msimu wa 2023/24...