• Nairobi
  • Last Updated December 3rd, 2023 4:30 PM

Najuta sana kutounga Wanyonyi Ugavana Nairobi, Igathe hakutosha – Raila

NA CECIL ODONGO KINARA wa Upinzani Raila Odinga amejutia hatua ya Muungano wa Azimio kutomkabidhi Mbunge wa Westlands Tim Wanyonyi tiketi...

Tim Wanyonyi tosha kwa ugavana wa Nairobi 2027- Raila

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amemwidhinisha Mbunge wa Westlands Timothy Wanyonyi kuwa...

Wanasiasa wa UDA North Rift waelezea matumaini ya uchaguzi huru

NA TITUS OMINDE WANASIASA wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) kutoka North Rift wamewahakikishia wafuasi wao kuwa uchaguzi wa...

Mkono wa Rais Ruto ulivyomtoa Wamatangi vinywani mwa MCAs

NA SIMON CIURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua, kwa mara ya pili katika muda wa chini ya miezi minane ameitisha mkutano na viongozi...

ODM yaanza kufuta nyayo za UDA Nyanza

NA GEORGE ODIWUOR CHAMA cha ODM kimeanza kuwakusanya wafuasi wake kukabili uvamizi wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) katika...

Spika wa Bunge la Siaya akanusha njama ya kumng’oa Gavana Orengo licha ya duru kusema madiwani 30 ‘wameshaamua’

NA KASSIM ADINASI SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Siaya George Okode amekanusha kuwepo kwa njama yoyote ya kumbandua Gavana James...

Ni rasmi Sabina Chege amevuliwa wadhifa wa Naibu Kiranja wa Wachache

NA CHARLES WASONGA HATIMAYE Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula ameidhinisha uamuzi wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya wa...

Sakaja akodolea macho mikosi iliyomwandama Sonko

NA WINNIE ONYANDO LICHA ya wandani wa Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja kupata afueni, nyufa ndani ya United Democratic Alliance (UDA) na...

Mwangaza asubiri kikao cha bunge la kaunti kupata mwanga kuhusu masaibu yake

NA DAVID MUCHUI HUKU mikakati ya kumwondoa mamlakani Gavana Kawira Mwangaza wa Meru ikikaribia kutimia, kila upande unajikakamua...

Maskini Raila! Viongozi watoa sababu za kumhepa

NA RUSHDIE OUDIA WANASIASA ambao wamemwasi na kumtoroka kiongozi wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga, wamejitokeza na kueleza sababu...

Bahati ‘Mtoto wa Mama’ kupambana na Sakaja ugavana Nairobi mwaka 2027

NA WINNIE ONYANDO MWANAMUZIKI Kevin Kioko almaarufu Bahati ametangaza kuwa atawania kiti cha ugavana katika Kaunti ya Nairobi mwaka...

Wito viongozi wa Mlima Kenya waungane kwa manufaa ya wenyeji na wakazi

NA LAWRENCE ONGARO VIONGOZI kutoka Mlima Kenya wameshauriwa kuungana pamoja na kuelekea njia moja. Mbunge wa Juja Bw George Koimburi...