• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 5:22 PM

Ndindi Nyoro atakubali wito wa kushirikiana na Maina Njenga?

NA WANDERI KAMAU HATUA ya aliyekua kiongozi wa kundi la Mungiki, Bw Maina Njenga, kumrai mbunge Ndindi Nyoro (Kiharu) kubuni muungano wa...

Maina Njenga: Ilitabiriwa mimi kuwa ‘kingpin’ Mlimani

NA WANDERI KAMAU ALIYEKUWA kiongozi wa kundi haramu la Mungiki, Maina Njenga, sasa amedai kuwa kuna utabiri uliotolewa kwamba "mimi...

Gavana Kahiga awachemkia waliosema ‘Ndindi Tosha’

NA MERCY MWENDE GAVANA wa Nyeri Mutahi Kahiga ametishia kwamba migawanyiko inayoshuhudiwa katika eneo la Mlima Kenya itawaponza wakazi...

Gavana Otuoma atafuta washirika wapya baada ya kuzomewa nyumbani

NA HASSAN WANZALA GAVANA wa Busia Paul Otuoma sasa anaonekana waziwazi akitafuta washirika wapya baada ya kukataliwa nyumbani...

Mkutano wa mahakama na Rais utazaa haramu – Raila

NA RUSHDIE OUDIA KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amemtaka Jaji Mkuu Martha Koome aachane na jitihada zake za kukutana...

Kuna mtu ataumia

NA WYCLIFFE NYABERI UHASAMA wa kisiasa baina ya Gavana wa Kisii Simba Arati na Kiranja wa Wengi bungeni Silvanus Osoro, unaozidi...

Kamwene: Makau Mutua amkinga Kalonzo dhidi ya makombora ya Karua

NA WANDERI KAMAU MSEMAJI wa Sekretariati ya mrengo wa Azimio la Umoja, Profesa Makau Mutua, amemtetea vikali kiongozi wa Wiper, Bw Kalonzo...

Bado ana risasi?

NA MOSES NYAMORI KINARA wa Upinzani Raila Odinga ameanza mikakati ya kujijenga upya kisiasa huku dalili za mapema zikionyesha huenda...

Raila apangua mfumo wa usimamizi ODM kuzima blanda za uteuzi

NA CHARLES WASONGA CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kimependekeza kuvunjilia mbali Bodi ya Kitaifa ya Uchaguzi (NEB) na...

Sababu za Raila kukutana na Wanjigi

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga, ameanza juhudi za kuwatafuta washirika wapya wa kisiasa, baada ya urafiki...

Kalonzo, Karua vitani kuhusu kubuniwa kwa ‘Kamwene’

NA WANDERI KAMAU MIZOZO inayoukumba mrengo wa Azimio la Umoja inaonekana kuendelea kudorora, baada ya kiongozi wa Wiper, Bw Kalonzo...

Raila na Wanjigi: Urafiki wa presha inapanda, presha inashuka

NA NDUBI MOTURI KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga mnamo Jumanne alikutana na kiongozi wa chama cha Safina Jimi Wanjigi,...