• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM
Sossion aahidi kushirikiana na wafanyabiashara

Sossion aahidi kushirikiana na wafanyabiashara

NA KNA

MBUNGE maalum ambaye pia ni mwaniaji wa kiti cha useneta Kaunti ya Bomet, Bw Wilson Sossion (pichani), ameingia katika maeleweno na wafanyabiashara wa kaunti hiyo kuunda kamati za usimamizi katika kaunti ndogo.

Akizungumza katika ofisi za Chama cha Wafanyabiashara mjini Bomet, alisema utafiti waonyesha kuwa kaunti hiyo ina viwango vya juu vya umasikini huku ukusanyaji wa mapato ukiwa duni.

  • Tags

You can share this post!

Mali ya Mbelgiji ya Sh100m yaibwa

Atletico Madrid yakatiza safari ya Man-United kwenye soka...

T L