Shangazi Akujibu

SHANGAZI AKUJIBU: Mke anataka tufanye harusi ya Sh1 milioni ilhali mimi sina uwezo huo

Na SHANGAZI November 22nd, 2025 Kusoma ni dakika: 1

SWALI: Hujambo Shangazi. Mpenzi wangu anataka harusi kama ya staa. Mimi hata suti sina. Naogopa kumwambia ukweli.

Jibu: Harusi si uwanja wa kuonyesha utajiri. Mwambie ukweli. Kama hataki harusi ya bajeti yenu basi hayuko tayari kuingia kwenye ndoa.

IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO