Shangazi Akujibu
SHANGAZI AKUJIBU: Mrembo anapenda onja onja, nashuku sitamtosheleza kitandani baada ya kuoana
Mwanamke mfanyabiashara ya ngono akiwa chumbani na mteja wake. Picha|Maktaba
SWALI: Kwako shangazi. Nimekuwa na mpenzi kwa miaka mitatu na ninaamini anaweza kuwa mke mzuri. Lakini anapenda sana kulamba asali na nahisi nikimuoa nitashindwa kumtosheleza. Nifanyeje?
Jibu: Kila mtu ana maumbile yake. Hayo ni maumbile ya mpenzi wako na hawezi kubadilika. Kwa hivyo ukiamua kumuoa itabidi utafute namna ya kukidhi haja yake. Kazi kwako.
IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO