Shangazi Akujibu
SHANGAZI AKUJIBU: Mume hajiwezi chumbani!
Wapenzi wakiwa kwenye raha zao. Picha|Maktaba
SWALI: Nilishiriki burudani na mume wangu kwa mara ya kwanza juzi baada ya kufunga ndoa. Nimegundua hali yake ambayo sikutarajia. Kiungo chake ni kidogo sana, hakiwezi lolote. Nimeamua kumuacha. Nishauri.
Jibu: Kama shughuli hiyo ni muhimu kwa maisha yako ya ndoa, itakuwa vigumu kuishi na mume wako. Itabidi ushauriane naye kuhusu uamuzi wako kisha umhakikishie hiyo itabakia siri yenu tu.
IMETAYARISHWA NA WINNIE ONYANDO