• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 12:58 PM
Wakazi wa Githurai 45 waiomba mahakama imwachilie polisi akawahudumie

Wakazi wa Githurai 45 waiomba mahakama imwachilie polisi akawahudumie

Na RICHARD MUNGUTI

MAHAKAMA kuu Jumatano iliombwa imwachilie afisa wa polisi Titus Ngamau Musila na mwanamuziki wa bendi ya ‘Kithangaini Lipua Lipua’  anayekabiliwa na shtaka la mauaji.

Jambo la kushangaza ni kwamba wakazi wa Githurai ambapo afisa huyo alikuwa akifanyakazi waliiomba korti imwachilie ndipo arudi kuwahudumia.

“Naomba hii mahakama itilie maanani wito na kilio cha wakazi wa Githurai 45 kwamba Katitu aachiliwe arudi kuwatumikia,” alisema wakili Cliff Ombeta.

Na wakati huo huo kiongozi wa mashtaka Catherine Mwaniki aliambia korti “amua kulingana na kilio cha wakazi wa Githurai na wito wa jamii ya mshtakiwa.”

Wote walikubaliana kuwa  “Katitu ni mzuri aachiliwe.”

You can share this post!

Facebook yashtakiwa huku thamani yake ikishuka kwa kuruhusu...

Seneta Linturi apambana mahakamani kuhusu digrii

adminleo