• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 6:27 PM
Ghorofa yaporomoka mtaani Tassia

Ghorofa yaporomoka mtaani Tassia

Na OUMA WANZALA

INAHOFIWA watu kadhaa wamenasa katika vifusi vya ghorofa iliyobomoka na kuporomoka mtaani Tassia, Embakasi jijini Nairobi.

Kufikia sasa, mwanamke na mwanawe na vilevile mwanamume wameokolewa huku wengine wakiwa bado wamenasa.

Sababu ya mkasa huo haijabainika.

You can share this post!

Sonko akamatwa mjini Voi mara baada ya agizo la DPP

MAWAIDHA YA KIISLAMU: Maandalizi ya maisha ya ndoa ni...

adminleo