Tag: 14 Riverside
- by adminleo
- May 21st, 2019
BIMA: Wamiliki wa 14 Riverside kuvuna fidia ya Sh400m
Na BERNARDINE MUTANU WAMILIKI wa jengo la 14 Riverside mtaani Westlands, Nairobi wanatarajia kulipwa Sh400 milioni kama bima kutokana na...
- by adminleo
- February 8th, 2019
Maafisa wa NTSA wanaoshukiwa kuhusika kwa mauaji ya DusitD2 waachiliwa
Na RICHARD MUNGUTI MAAFISA watano wa Mamlaka ya Kitaifa ya Usalama wa Uchukuzi (NTSA) waliotiwa nguvuni na kuzuiliwa kuhusishwa na...
- by adminleo
- February 5th, 2019
Kuna uwezekano wa mashambulizi ya kigiaidi Kenya, Amerika yaonya
Na PETER MBURU SERIKALI ya Marekani imetoa tahathari kwa raia wake waliomo nchini Kenya katika miji ya Nairobi, Naivasha na Nanyuki,...
- by adminleo
- January 25th, 2019
Kipusa aliyeuza bima kwa magaidi wa DusitD2 kizimbani
NA RICHARD MUNGUTI AJENTI aliyeuza bima ya gari lililotumiwa na magaidi kwenye shambulizi katika hoteli ya DusitD2 wiki iliyopita,...
- by adminleo
- January 24th, 2019
Polisi wanasa watu 6 wanaoshukiwa kufadhili magaidi
NA MAUREEN KAKAH MAHAKAMA itaaamua iwapo itawaachilia kwa dhamana washukiwa wengine saba wa ugaidi wanaohusishwa na shambulizi la...
- by adminleo
- January 17th, 2019
SHAMBULIO: Serikali itagharamia matibabu ya waathiriwa wote – Ruto
Na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto ametangaza kuwa hospitali ambako waathiriwa wa shambulio katika eneo la 14 Riverside...
- by adminleo
- January 17th, 2019
KEPSA yakemea vikali mauaji ya 14 Riverside
Na BERNARDINE MUTANU Chama cha wamiliki biashara wa kibinafsi kimekemea vikali shambulizi la kigaidi 14 Riverside,...
- by adminleo
- January 17th, 2019
TAHARIRI: Waliokabili magaidi fahari kwa Kenya
NA MHARIRI Shambulio la kigaidi lililotekelezwa juzi jijini Nairobi na magaidi wenye makao yao nchini Somalia, Al-Shabaab, ni thibitisho...
- by adminleo
- January 17th, 2019
Magaidi hawana dini wala kabila – SUPKEM
CECIL ODONGO na MOHAMED AHMED VIONGOZI wa Baraza kuu la Kiislamu nchini (SUPKEM) Jumatano walikemea wanaohusisha magaidi waliotekeleza...
- by adminleo
- January 17th, 2019
SHAMBULIO: Sababu za Al Shabaab kulenga hoteli ya Dusit D2
Na WYCLIFFE MUIA HOTELI ya Dusit D2 ndio ilikuwa kitovu cha shambulizi la kigaidi Jumanne na wengi wameanza kuhoji sababu za magaidi...
- by adminleo
- January 17th, 2019
SHAMBULIO: Wakenya waonyesha umoja baada ya uvamizi
Na PETER MBURU WAKENYA Jumatano waliendelea kusisimua ulimwengu kwa uzalendo, ukarimu na ushujaa wao kufuatia shambulio la hoteli ya...
- by adminleo
- January 17th, 2019
KENYA IMARA: Mashujaa walivyowazidi nguvu magaidi
Na BENSON MATHEKA WAKENYA wameibuka mashujaa na imara zaidi kama taifa, kufuatia shambulizi la kigaidi mnamo Jumanne katika majengo ya...