Tag: afrika kusini
- by T L
- November 29th, 2021
Corona: Afrika Kusini sasa yadai ‘kuonewa’
JOHANNESBURG, Afrika Kusini Na MASHIRIKA AFRIKA Kusini imedai kuwa inaonewa na mataifa mengine duniani badala kusifiwa, kwa kutambua...
Ripoti ya utafiti yachora taswira ya viwango vya umaskini Afrika Kusini
Na MASHIRIKA PRETORIA, Afrika Kusini KIWANGO cha ukosefu wa ajira nchini Afrika Kusini kimepanda hadi kuwa cha juu zaidi duniani,...
AU yakashifu ghasia Afrika Kusini, watu 72 wakiuawa
Na MASHIRIKA JOHANNESBURG, Afrika Kusini UMOJA wa Afrika (AU) Jumatano ulikashifu vikali ghasia zinazoendelea kushuhudiwa nchini...
Kisa cha Covid-19 chatishia kampeni ya wanaraga wa Afrika Kusini watakaovaana na Kenya Olimpiki
Na GEOFFREY ANENE WAPINZANI wa Kenya Shujaa katika mechi za makundi za Olimpiki 2020, Afrika Kusini wanakodolea macho kubanduliwa bila...
Zuma atakiwa ajiamulie kifungo anachotaka apewe
NA AP ALIYEKUWA rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ametakiwa kupendekeza kifungo ambacho angependa kupewa kwa kukwepa vikao vya...
- by adminleo
- July 18th, 2020
Vipimo vyabainisha viongozi kadhaa Afrika Kusini wanaugua Covid-19
PETER DUBE na CHARLES WASONGA MAWAZIRI wawili zaidi nchini Afrika Kusini wamepatikana na virusi vya corona huku janga hilo likiendelea...
- by adminleo
- June 28th, 2020
Afrika Kusini yarekodi visa vingi zaidi
XINHUA na FAUSTINE NGILA Afrika Kusini iliripoti visa 7,210 vya virusi vya corona, hii ikiwa idadi ya juu zaidi kuripotiwa tangu ugonjwa...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Hofu watu wengi zaidi huenda wakaangamia kwa corona Afrika Kusini
NA MASHIRIKA CAPE TOWN Nchi ya Afrika Kusini ilirekodi visa 2,801 kwa siku moja huku hofu ikizukwa kuwa kuna uwezekano wa watu wengi...
- by adminleo
- June 11th, 2020
Afrika Kusini yaadhimisha mwongo mmoja tangu iwe mwenyeji wa Kombe la Dunia
Na CHRIS ADUNGO AFRIKA Kusini inaadhimisha miaka 10 tangu iwe mwenyeji wa fainali za Kombe la Dunia katika soka ya wanaume mnamo...
- by adminleo
- May 12th, 2020
Nalenga kuvunja dhana potovu ‘Wakenya hawana lao soka ya Afrika Kusini’ – Anthony Akumu
Na CHRIS ADUNGO KIUNGO matata wa Harambee Stars, Anthony ‘Teddy’ Akumu amesema analenga kutamba zaidi katika soka ya Afrika Kusini...
- by adminleo
- September 4th, 2019
Mauaji ya wageni Afrika Kusini yazua ghadhabu barani
Na MASHIRIKA MAUAJI yanayolenga raia wa kigeni nchini Afrika Kusini yamezua ghadhabu katika mataifa mbalimbali ya Afrika huku idadi ya...
- by adminleo
- September 3rd, 2019
Mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni Afrika Kusini yaushtua ulimwengu
Na AFP na MARY WANGARI JOHANNESBURG, Afrika Kusini WAZIRI Mkuu David Makhura amesema mashambulizi ya ubaguzi wa rangi hayataruhusiwa...