• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 3:34 PM

Jumwa asisitiza azma yake ya ugavana Kilifi bado haijafa

NA MAUREEN ONGALA WAZIRI wa Utumishi wa Umma na Jinsia, Bi Aisha Jumwa, amefafanua kwamba hatua yake ya kushirikiana na Gavana wa Kilifi,...

Mung’aro sasa afichua ushirikiano na Jumwa

NA ALEX KALAMA GAVANA wa Kilifi, Bw Gideon Mung'aro, amefichua kuhusu ushirikiano uliokuwepo kati yake na Waziri wa Utumishi wa Umma,...

Afueni kwa Jumwa kesi kuhusu digrii yake ikitupwa

NA BRIAN OCHARO MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, amepata afueni baada ya Mahakama Kuu ya Mombasa kutupilia mbali ombi lililokuwa...

Jumwa amsifia Ruto, asema ndiye suluhu ya uchumi wa nchi uliodorora

NA ALEX KALAMA MGOMBEA ugavana wa kaunti ya Kilifi kupitia chama cha UDA ambaye ni mbunge wa Malindi Aisha Jumwa amewataka wakazi wa...

Mistari ya Raila yakosa kumnasa Aisha Jumwa

VALENTINE OBARA na MAUREEN ONGALA JUHUDI za wanasiasa wapinzani wa Naibu Rais William Ruto, kumvuta upande wao Mbunge wa Malindi, Bi...

Jumwa aponyoka pingu kesi ya uuaji

NA BRIAN OCHARO MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, Jumanne aliponea chupuchupu agizo la kukamatwa kuhusiana na kesi ya mauaji...

Jumwa na wengine 6 wataka kesi ya ufisadi dhidi yao isikilizwe upya

Na PHILIP MUYANGA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, na watu wengine sita wanaokabiliwa na mashtaka ya kushiriki ufisadi, sasa wanataka...

Mwamko mpya wanawake Pwani wakilenga ugavana

Na PHILIP MUYANGA KUONGEZEKA kwa idadi ya wanawake katika kinyang’anyiro cha ugavana eneo la Pwani kunaonyesha mabadiliko makubwa ya...

Jumwa adai serikali ya Kingi haijali wakazi

ALEX KALAMA na VALENTINE OBARA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, ameisuta Serikali ya Kaunti ya Kilifi akidai kuwa haitilii maanani...

Kesi ya Jumwa yaahirishwa wakili Ombeta amalize kesi ya mauaji

Na MWANDISHI WETU MAHAKAMA KUU imeagiza kesi ya ufisadi inayomkabili mbunge wa Malindi, Aisha Jumwa, iahirishwe hadi kesi nyingine...

Yaibuka Ruto aligawia Jumwa GSU wawili ilhali ana kesi

Na IBRAHIM ORUKO NAIBU Rais William Ruto, amesemekana alimpa Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, maafisa wawili wa polisi wenye taaluma...

Wakili ataka Jumwa amlipe Sh22.6m

Na PHILIP MUYANGA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, anatakiwa kulipa kampuni ya mawakili Sh22.6 milioni kwa kumwakilisha katika kesi ya...