Tag: asali
- by T L
- February 23rd, 2022
MITAMBO: Smoker itakusaidia kukaribia mzinga na kuvuna asali murwa
NA RICHARD MAOSI WAKULIMA wengi huingilia ufugaji wa nyuki kwa lengo la kurina asali. Ufugaji huo unatambuliwa kama mojawapo ya...
- by T L
- January 26th, 2022
UJASIRIAMALI: Ameunda jina kuwa bingwa wa asali ‘legit’
Na PETER CHANGTOEK BAADA ya kugundua kuwa kuna asali feki zinazouzwa katika maeneo mengi, hususan jijini Nairobi, aliamua kujitosa...
AKILIMALI: Ufugaji nyuki washika kasi biashara ya asali ikinoga
Na SAMMY WAWERU BLOSSOMS & Beehives ni duka la asali katika Soko la Wakulima na Wafugaji la Nairobi Farmers Market lililoko katikati...
Hofu uvamizi wa nzige unapunguza asali
Na Geoffrey Ondieki UVAMIZI wa nzige nchini sasa unaangamiza nyuki na kuchangia kupungua kwa uzalishaji wa asali katika kaunti...
Ubunifu wa mitego maalum unavyomsaidia kurina asali
Na SAMMY WAWERU Ikiwa kuna mfumo wa kiteknolojia anaopigia upatu baada ya kuukumbatia mnamo 2017, ni matumizi ya mitego ya kipekee kuteka...
KWA KIFUPI: Asali ni dawa ya kikohozi – Utafiti
Na LEONARD ONYANGO IKIWA unasumbuliwa na kikohozi, mafua au kufungana kwa koo na pua, unaweza kujaribu kutumia asali. Watafiti wa...
- by adminleo
- March 5th, 2020
Kaunti kujenga kiwanda cha kusafisha asali
Na Samuel Baya SERIKALI ya Kaunti ya Nakuru imepanga kutumia Sh5 milioni kujenga kiwanda cha kusafisha asali katika kaunti...
- by adminleo
- February 24th, 2020
Biashara ya mizinga ilivyomwinua kiuchumi
NA RICHARD MAOSI Mchango wa kufuga nyuki ni mkubwa katika azma ya wakulima wadogo kujiongezea kipato, ikiaminika kuwa hakuna kiumbe...
- by adminleo
- September 18th, 2019
SIHA NA USAFI: Jinsi ya kuondoa vipele puani (whiteheads)
Na MARGARET MAINA [email protected] HIVYO vitu vyeupe vilivyomo puani ni ngozi zilizokufa “dead skins” ambazo zikikutana...
- by adminleo
- June 18th, 2019
Mapolo wasaka mwizi wa asali
Na JOHN MUSYOKI BANANA, KIAMBU JAMAA mmoja aliyedaiwa kuchovya asali kwa mama pima na kutoroka anasakwa na mapolo waliodai aliramba...
- by adminleo
- May 22nd, 2019
Jombi atemwa kwa kukataa kuchovya asali
Na LEAH MAKENA HANANTU, THARAKA NITHI JAMAA wa hapa alitemwa na demu wake kwa kukataa kuchovya asali akisema hangejihusisha na...
- by adminleo
- May 14th, 2019
Afariki baada ya kubugia pombe ya asali
Na PETER MBURU MWANAMUME kutoka kijiji cha Ntoombo, eneo la Tigania Magharibi katika Kaunti ya Meru alifariki Jumapili, huku wenzake...