Tag: BIDHAA
- by T L
- November 12th, 2021
Bidhaa: Maafisa walaumiwa kwa kuzembea
Na SIAGO CECE MAAFISA WA USALAMA katika mpaka wa Kenya na Tanzania wamekashifiwa kwa kuzembea na kusababisha uingizaji wa bidhaa ghushi...
Duka la Nakumatt linavyohudumia wateja kisiri Nairobi
NA BRIAN WASUNA Wakati msimamizi wa Nakumatt, Peter Opondo Kahi aliyauza matawi sita yaliyosalia kwa Naivas kwa Sh422 milioni, wengi...
- by adminleo
- May 11th, 2020
Wafanyabiashara wa Kwale wanaotegemea Kongowea wataka serikali iwatambue ‘watoaji huduma muhimu’
Na MISHI GONGO WAFANYABIASHARA kutoka Kaunti ya Kwale wanaotoa bidhaa zao katika soko la Kongowea mjini Mombasa, wameitaka serikali...
- by adminleo
- January 21st, 2020
UBUNIFU: Mwanafunzi abadilishaye taka kuwa bidhaa za thamani
Na PETER CHANGTOEK BAADHI ya watu aghalabu hawaoni thamani yoyote iliyopo katika taka kama vile chupa za plastiki zilizotupwa na zile za...
- by adminleo
- June 14th, 2018
BAJETI YA KUNYONYA: Raia kuumia zaidi
CHARLES WASONGA na VALENTINE OBARA BEI ya unga, maziwa, mkate, mafuta taa na bidhaa nyingine za kimsingi itapanda Bunge likipitisha...
- by adminleo
- June 14th, 2018
TAHARIRI: Wauzao bidhaa feki ni wauaji, wanyongwe!
Na MHARIRI NI jambo la kusikitisha sana kuwa tamaa ya utajiri wa haraka imewafanya baadhi ya Wakenya kuingiwa na ushetani kiasi cha...
- by adminleo
- April 14th, 2018
Huenda bei ya bidhaa ikashuka baada ya hatua hii
Na BERNARDINE MUTANU Shirika la Umeme nchini, Kenya Power, limeingia katika mkataba na Chama cha Watengenezaji wa Bidhaa (KAM)...
- by adminleo
- March 28th, 2018
Waholanzi sasa ndio wateja wakuu wa bidhaa za Kenya
Na BERNARDINE MUTANU TAIFA la Uholanzi limekuwa mwagizaji wa pili mkubwa zaidi ya bidhaa za Kenya, kwa kuipiku Uganda ambayo awali...
- by adminleo
- March 19th, 2018
TAHARIRI: KEBS na ACA zimeshindwa kukabiliana na bidhaa feki?
Na MHARIRI TANGU mvua ya msimu ilipoanza kunyesha wiki mbili zilizopita, mijengo kadhaa imeporomoka Kiambu, Nairobi na Mombasa. Sababu...