• Nairobi
  • Last Updated April 26th, 2024 7:00 PM

Bidhaa: Maafisa walaumiwa kwa kuzembea

Na SIAGO CECE MAAFISA WA USALAMA katika mpaka wa Kenya na Tanzania wamekashifiwa kwa kuzembea na kusababisha uingizaji wa bidhaa ghushi...

Duka la Nakumatt linavyohudumia wateja kisiri Nairobi

NA BRIAN WASUNA Wakati msimamizi wa Nakumatt, Peter Opondo Kahi aliyauza matawi sita yaliyosalia kwa Naivas kwa Sh422 milioni, wengi...

Wafanyabiashara wa Kwale wanaotegemea Kongowea wataka serikali iwatambue ‘watoaji huduma muhimu’

Na MISHI GONGO WAFANYABIASHARA kutoka Kaunti ya Kwale wanaotoa bidhaa zao katika soko la Kongowea mjini Mombasa, wameitaka serikali...

UBUNIFU: Mwanafunzi abadilishaye taka kuwa bidhaa za thamani

Na PETER CHANGTOEK BAADHI ya watu aghalabu hawaoni thamani yoyote iliyopo katika taka kama vile chupa za plastiki zilizotupwa na zile za...

BAJETI YA KUNYONYA: Raia kuumia zaidi

CHARLES WASONGA na VALENTINE OBARA BEI ya unga, maziwa, mkate, mafuta taa na bidhaa nyingine za kimsingi itapanda Bunge likipitisha...

TAHARIRI: Wauzao bidhaa feki ni wauaji, wanyongwe!

Na MHARIRI NI jambo la kusikitisha sana kuwa tamaa ya utajiri wa haraka imewafanya baadhi ya Wakenya kuingiwa na ushetani kiasi cha...

Huenda bei ya bidhaa ikashuka baada ya hatua hii

Na BERNARDINE MUTANU Shirika la Umeme nchini, Kenya Power, limeingia katika mkataba na Chama cha Watengenezaji wa Bidhaa (KAM)...

Waholanzi sasa ndio wateja wakuu wa bidhaa za Kenya

Na BERNARDINE MUTANU TAIFA la Uholanzi limekuwa mwagizaji wa pili mkubwa zaidi ya bidhaa za Kenya, kwa kuipiku Uganda ambayo awali...

TAHARIRI: KEBS na ACA zimeshindwa kukabiliana na bidhaa feki?

Na MHARIRI TANGU mvua ya msimu ilipoanza kunyesha wiki mbili zilizopita, mijengo kadhaa imeporomoka Kiambu, Nairobi na Mombasa. Sababu...