• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 2:07 PM

Mlipuko wa ugonjwa wa kuhara wazua hofu vijijini Boni

Na KALUME KAZUNGU MLIPUKO wa maradhi ya kuendesha na kutapika umeibuka miongoni mwa watoto kwenye vijiji vya msitu wa Boni, Kaunti ya...

Waziri motoni kukodisha choo kwa Sh2.3m

Na DAVID MWERE WAZIRI wa Maji Sicily Kariuki ameagizwa kufika mbele ya wabunge kujibu maswali kuhusu matumizi mabaya ya fedha za umma...

Mshtakiwa ajifungia chooni akiogopa kujua hukumu

Na RICHARD MUNGUTI MFANYAKAZI wa kampuni  moja inayotengeneza mvinyo na inayohusishwa na kiongozi wa ODM Raila Odinga, alisababisha...

Watoto wawili wapatikana katika shimo la choo Juja wakiwa wameuawa

Na LAWRENCE ONGARO WATOTO wawili wamepatikana katika shimo la choo wakiwa wameuawa katika kijiji cha Riuriro, Murera mjini...

Vyoo vijengwe ufuoni msimu huu wa likizo, wakazi Mombasa wasema

Na DIANA MUTHEU WAKAZI wa Mombasa wameomba vyoo vya umma vijengwe na vingine viongezwe katika fuo za bahari hasa msimu huu wa...

Wanafunzi 500 hutumia choo kimoja, wengi hukimbilia kichakani

Na NDUNGU GICHANE ZAIDI ya wanafunzi 500 katika Shule ya msingi ya St. Mary iliyoko Kiharu, Kaunti ya Murang’a wamelazimika kutumia...

Miguna alizuiliwa ndani ya choo JKIA, wasema mawakili

[caption id="attachment_3677" align="aligncenter" width="800"] Wakili wa Dkt Miguna Miguna, Bw Nelson Havi. Picha/Maktaba[/caption] Na...