• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 9:55 AM

Mbunge apendekeza kutathminiwa kwa sheria za uchaguzi kukomesha kampeni za mapema

Na SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kiminini, Chris Wamalwa amependekeza kutathminiwa kwa sheria za uchaguzi ili kuzuiwa wanasiasa kushiriki...

Waliozua fujo watatiwa adabu au ni vitisho baridi tulivyozoeshwa?

Na WANDERI KAMAU TUME ya Kitaifa ya Uwiano na Utangamano (NCIC) imewaagiza wabunge 10 kufika mbele yake hapo kesho, kufuatia ghasia...

Hatima ya Jumwa, Wamalwa yaamuliwa

Na WAANDISHI WETU MRENGO wa upinzani Nasa umeidhinisha kutimuliwa kwa wabunge wake waasi kutoka nyadhifa za uongozi katika bunge la...

Shoka kuwaangukia waasi wa mrengo wa Nasa katika bunge la kitaifa

Na CHARLES WASONGA MBUNGE wa Kiminini Chris Wamalwa na mwenzake wa Malindi Aisha Jumwa watakoponywa nyadhifa za naibu kiranja wa...

Wamalwa mbioni kubadilisha tarehe ya Uchaguzi Mkuu

Na CHARLES WASONGA  MSWADA wa kubadilisha tarehe ya Uchaguzi Mkuu kutoka Agosti 8 hadi  Desemba uliwasilishwa bungeni Jumatano. Mbunge...