Tag: Coronavirus
- by T L
- November 28th, 2021
Serikali haitaweka vikwazo dhidi ya wageni kuingia Kenya kufuatia mlipuko wa aina mpya ya corona
Na CHARLES WASONGA SERIKALI ya Kenya haina mipango ya kuwazuia wasafiri kutoka mataifa yaliyoathirika na aina mpya ya virusi vya...
- by adminleo
- February 27th, 2020
Bunge laisuta serikali kwa kutomakinika kuzuia virusi vya Corona
Na CHARLES WASONGA WABUNGE wameisuta serikali kwa kuruhusu ndege yenye abiria 239 kuingia nchini kutoka China wakisema hiyo inaonyesha...
- by adminleo
- February 25th, 2020
Ligi ya Olunga yaahirishwa kwa sababu ya coronavirus
Na GEOFFREY ANENE JAPAN imetangaza Februari 25 kusimamisha mechi zote za Ligi Kuu (J-League) na mashindano mengine kwa sababu ya tishio...
- by adminleo
- February 25th, 2020
Coronavirus inavyohangaisha Wakenya
Na VALENTINE OBARA UGONJWA wa Coronavirus uliochipuka nchini China mnamo Desemba mwaka uliopita, sasa unatishia kuathiri maisha ya...
- by adminleo
- February 20th, 2020
Wakenya walio China wasema pesa si muhimu
MARY WANGARI na PHYLIS MUSASIA Zaidi ya Wakenya 3,000 waliokwama katika mkoa wa Wuhan, nchini China kutokana na mkurupuko wa Homa ya...
- by adminleo
- February 19th, 2020
Huenda huu ndio mwisho wa dunia?
Na WAANDISHI WETU UGONJWA wa coronavirus uliochipuka China mnamo Desemba 2019 umeibua mjadala huku baadhi ya vyombo vya habari vikiutaja...
- by adminleo
- February 18th, 2020
TEKNOHAMA: App ya kukabiliana na homa ya Corona
Na LEONARD ONYANGO HUKU Shirika la Afya Duniani (WHO) likisema kuwa kinga dhidi ya homa ya Corona itapatikana ndani ya miezi 18 ijayo,...
- by adminleo
- February 17th, 2020
China kuharibu pesa zote kuzima maambukizi zaidi
Na MASHIRIKA BENKI Kuu ya China imetangaza kuwa itaharibu pesa zote ambazo zimekusanywa na hospitali, mabasi na hata masoko katika...
- by adminleo
- February 14th, 2020
HOFU KUU! Hofu ya coronavirus yalazimu Man-United kumtenga Ighalo
Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KLABU ya Manchester United imefichua kuwa, sajili mpya Odion Ighalo anafanya mazoezi mbali na...
- by adminleo
- February 11th, 2020
SHINA LA UHAI: Mkurupuko wa homa ya Corona ni nini na utaepukaje?
Na LEONARD ONYANGO KENYA ni miongoni mwa mataifa ya Afrika yaliyo katika hatari kubwa ya kupatwa na maambukizi ya homa ya Corona ambayo...
- by adminleo
- February 6th, 2020
Jumla ya watu 563 wamekufa kutokana na virusi vya Corona
NA AFP IDADI ya watu ambao wamefariki kutokana na maradhi ya Homa ya China Alhamisi ilipanda kwa siku tatu mfululizo hadi kufikia watu...
- by adminleo
- January 29th, 2020
Homa ya China yazua hofu
ELIZABETH MERAB, NASIBO KABALE na SIMON CIURI HOFU imezuka kuhusu uwezekano wa Homa ya China kusambaa nchini baada ya mwanafunzi...